Askari wa jeshi la zimamoto viwanja vya ndege wafanya kazi katika mazingira magumu

mgini

New Member
Dec 14, 2013
2
1
Waheshimiwa mawaziri wa wizara husika [UCHUKUZI NA MAMBO YA NDANI] tunawaomba mtuokowe, Mvutano uliyopo kati ya ofisi ya kamshina wa zimamoto na mkurugenzi wa mamlaka ya viwanja vya ndege unatufanya tushindwe kufanya kazi katika hari ya ufanisi, kutokana na mambo mengi kuzolota kiutendaji. Kuna uduma ambazo tulikuwa tunazipata kutoka mamlaka ya viwanja ndege, lakini kamishina alizifuta huduma izo kwa madai kuwa atazitowa yeye lakini mpaka leo hakuna kinachoendelea juu ya uduma izo. Cha kusikitisha tangu tuhamishiwe ofisi ya kamishina hatujawai kulipwa pesa ya likizo lakini askari wenzetu wa manispaa wamekuwa wakilipwa pesa za likizo kutoka ofisi ya kamishina, hari hii inatuvunja nguvu kabisa ikizingatia sote tupo idara moja lakini sisi tunabaguliwa. Pia tangu mwezi wa tatu mwaka huu hatujawai kukatwa pesa kwa ajili ya kuchangia mifuko ifadhi za jamii [PSPF] tumekuwa tukipeleka malalamiko yetu ofisi ya kamishina bila kufanyiwa kazi. Hari hii imepelekea tushindwe kukopa pesa katika taasisi za fedha kwa kwasababu hatutambuliki, lakini askari wenzetu wa manispaa wanatambulika na mikopo wanachukuwa kwani wao wamekuwa wakichangia mifuko izo. Hari hii inaonesha jinsi gani ofisi ya kamishina ahitusamini kabisa sisi askari wa viwanja vya ndege, vitendea kazi vyenyewe vimekuwa vinatolewa kwa ubaguzi, hakuna hata siku moja tuliwai kupata hata unifom wala zana za kazi kutoka kwa kamishina lakini askari wenzetu miji wamekuwa wakipewa kutoka kwa kamishina. Hatujui sisi tupo wapi kiutendaji, WAHESHIMIWA MAWAZIRI TUNAOMBA SANA UTUNUSURU KWANI ASKARI TUNA HARI MBAYA SANA NA TUNAOMBA MTUTEMBELEE VIWANJANI TUNA KERO NYINGI SANA TENA SANA
 
Tena sisi wa hapa Morogoro ni tabu tupu. Wakubwa wetu wanakula wanagawana hela za huduma itolewayo kama stika za fire za magari na ukaguzi wa majengo. Hatuna sare na vifaa. Nasikia kuna naibu Kamishna mwanjeshi huko Makao Makuu, tunaomba uje uone uozo huu.
 
Tena sisi wa hapa Morogoro ni tabu tupu. Wakubwa wetu wanakula wanagawana hela za huduma itolewayo kama stika za fire za magari na ukaguzi wa majengo. Hatuna sare na vifaa. Nasikia kuna naibu Kamishna mwanjeshi huko Makao Makuu, tunaomba uje uone uozo huu.

Nyie wa morogoro mnamajungu na ftina sana acheni moto uwawakie kwanza ili mpate akil. Msalimie Awadh mwambie mwisho wa ubaya aibu kama yaliyomkuta Simba vile. Msalimie na bosi wako aliyemwaga oil chafu barazani kwake.
 
Kwa manung'uniko haya ile hamu ya kujiunga na jeshi la zimamoto imefika ukingoni leooooo!! Hata niitwe interview siendi!! duh Maskini
 
Waheshimiwa mawaziri wa wizara husika [UCHUKUZI NA MAMBO YA NDANI] tunawaomba mtuokowe, Mvutano uliyopo kati ya ofisi ya kamshina wa zimamoto na mkurugenzi wa mamlaka ya viwanja vya ndege unatufanya tushindwe kufanya kazi katika hari ya ufanisi, kutokana na mambo mengi kuzolota kiutendaji. Kuna uduma ambazo tulikuwa tunazipata kutoka mamlaka ya viwanja ndege, lakini kamishina alizifuta huduma izo kwa madai kuwa atazitowa yeye lakini mpaka leo hakuna kinachoendelea juu ya uduma izo. Cha kusikitisha tangu tuhamishiwe ofisi ya kamishina hatujawai kulipwa pesa ya likizo lakini askari wenzetu wa manispaa wamekuwa wakilipwa pesa za likizo kutoka ofisi ya kamishina, hari hii inatuvunja nguvu kabisa ikizingatia sote tupo idara moja lakini sisi tunabaguliwa. Pia tangu mwezi wa tatu mwaka huu hatujawai kukatwa pesa kwa ajili ya kuchangia mifuko ifadhi za jamii [PSPF] tumekuwa tukipeleka malalamiko yetu ofisi ya kamishina bila kufanyiwa kazi. Hari hii imepelekea tushindwe kukopa pesa katika taasisi za fedha kwa kwasababu hatutambuliki, lakini askari wenzetu wa manispaa wanatambulika na mikopo wanachukuwa kwani wao wamekuwa wakichangia mifuko izo. Hari hii inaonesha jinsi gani ofisi ya kamishina ahitusamini kabisa sisi askari wa viwanja vya ndege, vitendea kazi vyenyewe vimekuwa vinatolewa kwa ubaguzi, hakuna hata siku moja tuliwai kupata hata unifom wala zana za kazi kutoka kwa kamishina lakini askari wenzetu miji wamekuwa wakipewa kutoka kwa kamishina. Hatujui sisi tupo wapi kiutendaji, WAHESHIMIWA MAWAZIRI TUNAOMBA SANA UTUNUSURU KWANI ASKARI TUNA HARI MBAYA SANA NA TUNAOMBA MTUTEMBELEE VIWANJANI TUNA KERO NYINGI SANA TENA SANA

Wale wenye nia na hamu ya kujiunga huku naomba mzingatie hili
 
Nakumbuka wafanyakazi wenyewe wa Zimamoto kwa kushawishiwa na viongozi ndiyo walioomba kujitoa TAA ili warudi wizarani,waliambiwa kwamba pesa wanayolipa Airline inatosha kuboresha mishahara yao na posho zao,sasa imekuaje tena kamishna anashindwa kuwalipa kama alivyoahidi?,da mmeingizwa chaka kwa kweli msalimie Marembo mmoja waliokuwa mstari wa mbele katika kudai kujitenga.
 
Tena sisi wa hapa Morogoro ni tabu tupu. Wakubwa wetu wanakula wanagawana hela za huduma itolewayo kama stika za fire za magari na ukaguzi wa majengo. Hatuna sare na vifaa. Nasikia kuna naibu Kamishna mwanjeshi huko Makao Makuu, tunaomba uje uone uozo huu.

Acheni majungu na masufulia huyo naibu kamishina aliyetoka jeshini anaijua fire huyo aliletwa na nchmbi kwa nn msimuombe kamishina mpaka Muandike eti kamishina msaidizi aliyetoka jeshini huo ni uongo na uzushi cc askari tupo fit huyu naona Katumwa na wapambe
 
Wewe ndiyo umetumwa na huyo Kamishna. Huoni hali ilivyo mbaya, unadhani sisi hatujui jinsi huyo Mwanjeshi anavyowashughulikia waovu wote? Unadhani hatujui jinsi mnavyomtenga sasa. Suala kaletwa na nani sisi halituhusu, sisi tunachotaka maslahi tutachapa kazi. Tunahitaji wanajeshi kama kumi na tano ili wasaidie kunyoosha Zimamota, bila hivyo hali ya kwenda kwenye tukio bila maji litaendelea kuwepo.

Acheni majungu na masufulia huyo naibu kamishina aliyetoka jeshini anaijua fire huyo aliletwa na nchmbi kwa nn msimuombe kamishina mpaka Muandike eti kamishina msaidizi aliyetoka jeshini huo ni uongo na uzushi cc askari tupo fit huyu naona Katumwa na wapambe
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom