WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Askari wa hifadhi ya taifa ya kisiwa cha Rubondo iliyopo wilayani Geita wanadaiwa kuwapiga risasi wavui wawili na kuwavunja magoti mmoja amelazwa kwenye hospiali ya wilaya ya geita na tayari alikuwa ameanza kuoza majeraha,mwenzake yuko mahabusu na hapati matibabu.
Hata hivyo inaaiwa kwamba askari hao walizamisha mtumbwi uliokuwa umewabeba wavuvi hao wapatao wanane ambapo wamezama na kufa!kun madai kwamba askari wa hifadhi hiyo wakiongozwa na mkuu wa doria wa hifadhi hiyo Fredrick chuwa wamekwa wakiwafanyia ukatili wavuvi wanaowakamata wakivua samaki ndani ya hifadhi kwa kuwapida,kuwalazimisha kutafuna kokoto na adabu nyingine.
Mkuu wa mkoa anadaiwa kufumbia macho vitendo hivyo.
Hata hivyo inaaiwa kwamba askari hao walizamisha mtumbwi uliokuwa umewabeba wavuvi hao wapatao wanane ambapo wamezama na kufa!kun madai kwamba askari wa hifadhi hiyo wakiongozwa na mkuu wa doria wa hifadhi hiyo Fredrick chuwa wamekwa wakiwafanyia ukatili wavuvi wanaowakamata wakivua samaki ndani ya hifadhi kwa kuwapida,kuwalazimisha kutafuna kokoto na adabu nyingine.
Mkuu wa mkoa anadaiwa kufumbia macho vitendo hivyo.