MSHINO
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,067
- 709
Kwanza nichukue pongezi kuubwa kwa Mheshimiwa Brigedia John Mbungo kuteuliwa kuwa mkuu wa Takukuru baada ya kukaimu nafasi hiyo kwa muda mrefu. Lakini pia kwa kuonyesha kazi nzuri.
Pamoja na mafanikio hayo bado rushwa ni tatizo kuubwa ndani ya jeshi la Polisi hasa idara ya usalama barabarani, askari wanachukua rushwa pasi na woga. sitaki kuamini km mitego ya TAKUKURU imeshindwa kufanya kazi kuwakamata. mfano Pale kweye taa za Mwenge askari wanachukua pesa mbele za watu. Kwa kifupi highway zote wanachukua rushwa hadharani.
TUNAOMBA KUFAHAMU KAMA WAO NI HALALI KUFANYA HIVYO Kwa sababu ni rahisi sana kuwakamata. wanatia doa nchi yetu kwenye macho ya wageni.
Pamoja na mafanikio hayo bado rushwa ni tatizo kuubwa ndani ya jeshi la Polisi hasa idara ya usalama barabarani, askari wanachukua rushwa pasi na woga. sitaki kuamini km mitego ya TAKUKURU imeshindwa kufanya kazi kuwakamata. mfano Pale kweye taa za Mwenge askari wanachukua pesa mbele za watu. Kwa kifupi highway zote wanachukua rushwa hadharani.
TUNAOMBA KUFAHAMU KAMA WAO NI HALALI KUFANYA HIVYO Kwa sababu ni rahisi sana kuwakamata. wanatia doa nchi yetu kwenye macho ya wageni.