Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,276
- 18,350
- Thread starter
- #21
Bodaboda tunawajua ndio maana hapa tunakusisitiza lawama zako zingeenda kwa bodaboda wako, na unatakiwa umripoti BOLT ili wamfungie... je, wewe unaweza kuikimbiza bodaboda ukiwa kwa miguu!? .... Ila ulitaka huyo askari mwanamama amkimbize na amkamate akiwa kwa miguu .
Hakuna anayekutolea povu instead tunakupa ukweli mweupe.
Don't take things personal ndugu.
Boda zimesajiliwa labda kama umesahau
Kingine, reaction ya askari ilikuwa ya hovyo kwa kukwepa fimbo yake tungeweza kupata ajali alafu sikuwa na habari kabisa.