OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Katika hali isiyo tarajiwa, jeshi la polisi ambalo kwa mjibu wa katiba ya Jamhuri Muungano Tanzania ndio walinzi wa raia na mali zao ,askari wawili wamekamatwa wakiiba mtaa wa Msasani,Dares salaam hatimaye kupigwa na raia wenye hasira .Nahisi hii inatokana na ugumu wa maisha na kupungua kwa madili,mishemishe na kitu kidogo kwani watanzania wamechoka . SOURCE: XXL-CLOUDZ