Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,769
- 10,645
Matumizi mabaya ya madaraka mkuu, think outside the box!Sasa hapo kosa la ocd au wake zao? Wakati mwingine huwa naona Tanzania hizi ndoa ni kama kulazimishana tu, hivi kweli Mke wako anasex na Mwanaume mwingine halafu unakwenda kumlalamikia mwingine? WTF!