Askari Polisi waandika barua kwenda kwa Waziri Lugola wakimtuhumu OCD Serengeti kutembea na wake zao, wachumba zao na kuomba rushwa

Nyanswe Nsame

Senior Member
Jul 9, 2019
158
175
Askari Polisi waandika barua kwenda kwa Waziri Lugora wakimtuhumu OCD Serengeti kutembea na wake zao, wachumba wao

Pia OCD huyo amekuwa akiomba rushwa ya ngono kwa askari wa kike


Mkuu wa kituo Cha Polisi wilaya ya Serengeti mkoani Mara (OCD) Matthew Mgema, ameingia katika kashfa nzito ya kuomba rushwa ya ngono fesha kutoka kwa askari wa kike na wa kiume.

Mkuu huyo wa kituo cha polisi amesababisha kuvunjika kwa ndoa za askari wake anaowaongoza na wengine kuwatengenezea skendo ambazo zimesababisha wahamishwe vituo vya kazi.

Barua tuliyoipata iliyoandikwa na askari Polisi hao, ambao wamechoshwa na vitendo hivyo, inaeleza namna OCD huyo anavyofanya vitendo vya kinyanyasaji kwa askari wenzake.

Barua hiyo imeandikwa kwenda kwa RPC Mara na Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi Kangi Lugora ili aweze kuwasaidia Polisi hao ambao wananyang'anywa wake na wengine kunyang'anywa wachumba wao na OCD huyo.

Kulingana na barua hii na vitendo vichafu vinavyoendelea kufanyika Serengeti, Waziri Lugora hakikisha unafanya ziara ya haraka Serengeti kwa kuwa vitendo hivyo vinahatarisha usalama kwa askari wako.

Pia OCD huyo ametengeneza mtandao ndani ya askari wake ambao wanashirikiana kuchukua rushwa kutoka kwa watuhumiwa wa uwindaji haramu kwenye mbuga ya serengeti.

Pia amekuwa akitumia mtandao huo wa askari wasiokuwa waaminifu kuchukua pesa kwa wafanyabiashara na watuhumiwa wengine wanaokamatwa kwa tuhuma mbalimbali na fedha zinazopatikana wamekuwa wakigawana.


Soma chini barua hii ya askari walioiandika kwenda kwa Waziri Lugora na RPC Mara.

Na hii timu ya Ocd anayotumia kuchukua rushwa na mambo mengine.

G-6873 D/C Benson..G-5805 D/C Christophe..G-3633 D/C peter..G-4209 D/C Steve..!

BY CHARLES CHARLES


 

Attachments

  • IMG-20191009-WA0022.jpg
    IMG-20191009-WA0022.jpg
    56.3 KB · Views: 7
  • IMG-20191009-WA0023.jpg
    IMG-20191009-WA0023.jpg
    62.4 KB · Views: 5
  • IMG-20191009-WA0021.jpg
    IMG-20191009-WA0021.jpg
    19.3 KB · Views: 4
Kama Askari Hajui Haki Zake Na Hatua Za Kisheria Za Kuchukua Je Raia Wa Kawaida Itakuwaje Yakimkuta.

Ndio Maana Tuna Jeshi La Polisi La Kipumbavu Sana Nchi Hii!

Polisi Gani Hajui Haki Zake Na Sheria Anashindwa Kuwatafuta Takukuru Wakaweka Mtego Na Wakamkamata Na Ushaidi Juu?
 
Anaomba rushwa ya ngono kwa askari wa kike na kiume?! Shoga huyu hapaswi kubaki jeshini. I know him since he was a constable. Aliingia Polisi kwa kubebwa na baba yake aliyekuwa mmoja wa maboss makao makuu ya Polisi miaka hiyo.
 
Nilivyojitahidi kuelewa ni kwamba hao wake na wachumba zao nao ni askari. so nadhani inapotokea waMefanya makosa ndio hapo ocd huwa anayamaliza kwa njia ya kingwajibway
Sasa hapo kosa la ocd au wake zao? Wakati mwingine huwa naona Tanzania hizi ndoa ni kama kulazimishana tu, hivi kweli Mke wako anasex na Mwanaume mwingine halafu unakwenda kumlalamikia mwingine? WTF!
 
Sasa hapo kosa la ocd au wake zao? Wakati mwingine huwa naona Tanzania hizi ndoa ni kama kulazimishana tu, hivi kweli Mke wako anasex na Mwanaume mwingine halafu unakwenda kumlalamikia mwingine? WTF!

Hao askari ni wajinga sana, unakwenda kumshitaki OCD huku una bunduki imejaa risasi? Kwanini wasitandike za kichwa ili akafanyie umalaya huko ahera? Wao wamebaki kutumwa tu kwenda kuwafanyia ukatili wapinzani huku wake zao wakipewa virus kwa ajili ya njaa zao.
 
Mimi naona tuhuma halisi ni hizo za kusapoti uharamia lakini suala la ngono hilo liko ndani ya uwezo wa hao akina mama,huwezi kumlaumu OCD
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom