Mayonene
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 1,595
- 1,417
haaha mkuu sikutaka kucheka kwa machungu niliokuwa nayo ,Dah ila mkuu anakosea sana kuwafanya hawa jamaa chanzo cha mapato,na ndo inanifanya nichukie utawala huu
Amwambie Mpango aziweke hizo faini kwenye mafuta kama za leseni atupunguzie usumbufu