Huyo kamanda ni Liberatus Matheus Sabas. Jamaa ni noma, kila alipopita majambazi waliufyata. Lakini kwa ngazi aliyofikia sio sawa tena kumleta Dar itakuwa kumshusha, alishavuka hatua hizo mbali.Wote tumesikia kutoka kwa Mh Rais alipokuwa anaongea na Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam kuhusu kuongezeka kwa matukio ya ujambazi Jijini Dar es Salam na vitongoji vyake (maana Jiji ni Ilala tu) ambapo Mh Rais amemuagiza IGP kulishughulikia jambo hilo na kulikomesha haraka huku akiagiza yule askari aliyehamishwa ambaye ni mahiri kwenye kukomesha majambazi arejeshwe .
Ni askari yupi huyo aliyehamishwa na sasa anatakiwa kurejeshwa ili kudhibiti ujambazi? Ni nani alimhamisha na kwa sababu zipi?
Mama anaongoza nchi kwa kutumia mitandao, yani et kaona huko mitandaoni wamemtaja huyo Askari hata jina halikumbuki.Rais anayesema ujambazi umeongezeka Dsm kwa sababu ya askari mmoja amehamishwa, bila kuwa hata na taarifa za ndani za huyo askari, hapa hatuna Rais, tuna mzigo tu Ikulu.
Aaah wapi! Labda anakutesa wewe unayeshinda ukimlilia! Wengine hivi sasa tuko huru ila yeye mwenyewe huko alipo bila shaka anateseka vilivyo akichezea mateso ya milele.Na ataendelea kuwatesa hadi kizazi chenu cha kumi!
Ni kweli, alikuwa rare species indeed! Ni mara chache sana unakutana na binadamu mwenye roho mbaya kama mwendazake. Wengi lazima tu wanasherehekea kifo chakeJPM was one the rare African Leader species born in our time ndio maana pamoja na kwamba aliishafariki,
Naam, legacy kama ya Adolf Hitler ambaye pamoja na kufa na kuwa mzoga kwa miaka zaidi ya sabini bado anakumbukwa kwa uovu wake! Legacy my foot!JF HAIWEZI kukaa bila threads zake na ikabaki salama! That's Legacy fella!!!!
Siku za mamboleo zinahesabikaMm naona hapo anataka tu IGP amtoe mambosasa na kumleta mtu mwingine
Nchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6
Ahmed msangi Mara ya mwisho akikuwa RPC Mwanza na akawa DCP, sijui kwasasa yupo wapi!?
Una uelewa sana mkuu hongera.Ishu siyo mtu, ni matukio. Huyu IGP aliwahi kuambiwa na Jiwe akiwa RPC DAR awanyang'anye hawa wajinga silaha haraka haraka na ndo maana ujambazi ulipungua wakati ule, leo mama kadokezwa kuwa ule ujinga umerudi so amemkumbusha Siro, asipime kina cha maji. Siku zote majambazi ni Polisi, yaani aendelee pale Jiwe alipoachiwa. MUHIMU, MAJAMBAZI NI ASKARI POLISI, Period
Umenikumbusha mbali jamaa alinyooshaga Arusha miaka hiyo nakuwa kuwa hilo jina lilikuwa maarufu sana.Saba Sita
Duh kunaweza kuwa na ukweli hapa.Ishu siyo mtu, ni matukio. Huyu IGP aliwahi kuambiwa na Jiwe akiwa RPC DAR awanyang'anye hawa wajinga silaha haraka haraka na ndo maana ujambazi ulipungua wakati ule, leo mama kadokezwa kuwa ule ujinga umerudi so amemkumbusha Siro, asipime kina cha maji. Siku zote majambazi ni Polisi, yaani aendelee pale Jiwe alipoachiwa. MUHIMU, MAJAMBAZI NI ASKARI POLISI, Period
Kafichwa Zanzibar huko ni Naibu DCI wa hukoAhmed msangi Mara ya mwisho akikuwa RPC Mwanza na akawa DCP, sijui kwasasa yupo wapi!?
Mama anafungua nchi, Sukuma Gang wamenuna.Mmebakia kukosoa tu wasukuma. Mbona kauli za dikteta magufuli mlikuwa hamzikosoa,,mlikuwa mnajifanya watu wamemnukuu vibaya Rais"**
walikuwa zamu yao kupiga mapambio wakati nyinyi mkikosoa,sasa hivi ni zamu yenu😅Mmebakia kukosoa tu wasukuma. Mbona kauli za dikteta magufuli mlikuwa hamzikosoa,,mlikuwa mnajifanya watu wamemnukuu vibaya Rais"**
Tatizo sio kulala kwake, ila ni falsafa yake aliyoiacha kwenye mioyo ya watanzania wenye utimamu wa akili kuhoji mambo y msingi 😎.Mnajitahidi sana kumkwamisha Mama SSH na chokochoko zenu lakini hamtoweza kamwe.Mmebaki tu kulaumu hata pasipo na sababu.Tulieni dawa iwaingie..mwendazake ameshalala milele.
UmepatiaNi afande wambura.