Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Hakuna askari police mwenye mapungufu ya akili,hayo ni mazingira ya kazi kuna sehemu zinahitaji uchizi kiasi chake
Uchizi gani unaotakiwa kwa polisi wa Tanzania.
Hakuna askari police mwenye mapungufu ya akili,hayo ni mazingira ya kazi kuna sehemu zinahitaji uchizi kiasi chake
Yeah Sasa hivi ni DC wilaya fulani jina tumelihifadhi na yule aliyefyatuliwa risasi ni RC kwa sasaalieteuliwa mkuu wa wilaya yule askari aliefyatua risasi??