Scolari Ndenga
JF-Expert Member
- Aug 4, 2008
- 271
- 43
Askari polisi mmoja Tanzania analinda raia 1500 Tanzania.
Hii ni hatari kweli kweli kwani takwimu hizi zinaashiria ulinzi na usalam wa raia Tanzania haupo.
Kuna kazi ya ziad inahitajika kufanyika kuboresha hali hii.
Sorce ya taarifa: IGP Mwema kupitia Chanel Ten
Hii ni hatari kweli kweli kwani takwimu hizi zinaashiria ulinzi na usalam wa raia Tanzania haupo.
Kuna kazi ya ziad inahitajika kufanyika kuboresha hali hii.
Sorce ya taarifa: IGP Mwema kupitia Chanel Ten