Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,138
- 10,538
askari Polisi wa kituo cha kati cha Dar es Salaam (jina kapuni) amekutwa amejiua kwa kujinyonga katika nyumba ya kulala wageni.
Askari huyo kabla ya kujitoa roho aliacha jumbe mbali mbali mojawapo ni kudai kuwa "maisha hayana maana"
Askari huyo alijaribu kujizuia kujiua mara kadhaa lakini ikashindikana.
Jeshi la Polisi linaendelea kufanya uchunguzi juu ya tukio la askari wake kujitoa uhai.
Askari huyo kabla ya kujitoa roho aliacha jumbe mbali mbali mojawapo ni kudai kuwa "maisha hayana maana"
Askari huyo alijaribu kujizuia kujiua mara kadhaa lakini ikashindikana.
Jeshi la Polisi linaendelea kufanya uchunguzi juu ya tukio la askari wake kujitoa uhai.