johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,430
- Thread starter
- #161
Nenda kachumbie bwashee!
Nenda kachumbie bwashee!
Dah....Hayo ni matumizi mabaya ya dola aliyosema bashiru. Waliochana sare ya askari ni mapandikizi ya ccm.
Aah unaona maneno hayo, nimekupitisha uwe mshenga arifu, Deal?Nenda kachumbie bwashee!
Hahahaaaaa....... mimi siyo gwajima bwashee!
Internet and politics?Unaelewa kwamba watu wote wangeamua kuwa "pragmatic" kwa standard za wakati wao, usingekuwa na internet leo?
Sent from my typewriter using Tapatalk
Nadhani hayo maelezo yako ni kwa mujibu wa askari wenyewe but ukisikilza na upande mwingine wanasema kuna wachache waliruhusiwa kuingia hadi gate fulani. Wengi wao waliambiwa wabaki nje na kwa mujibu wa maelezo yao walitii. Lakini Kama vile kulikuwa na mkakati fulani zilipigwa filimbi na kuanza kushambuliwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mtu yuko chini ya ulinzi kisha anachana sare ya polisi ataachiwa huru kweli? Hawa wana bahati kweli, ndo ingekuwa mimi walai watu wangekuwa wanazika sasa hivi. Watu wanapenda sana kutafuta sifa kwa kulazimisha.
Bila ligi hakuna maendeleo.
Hata baba yako na mama yako wasingekutana, na wewe usingekuwepo.Internet and politics?