kamituga JF-Expert Member May 31, 2019 1,195 1,918 Jul 27, 2021 #1 Wakuu za asubuhi? Nawatafuta makamanda wezangu tuendeleze vita ya kudai Katiba. Askari mmoja akifa au akipigwa risasi haturudi nyuma. Tunakwama wapi Makamanda? Mbona mkwara tulikuwa nao mkubwa sana kwenye media? Wapi Mdude, tusonge mbele!
Wakuu za asubuhi? Nawatafuta makamanda wezangu tuendeleze vita ya kudai Katiba. Askari mmoja akifa au akipigwa risasi haturudi nyuma. Tunakwama wapi Makamanda? Mbona mkwara tulikuwa nao mkubwa sana kwenye media? Wapi Mdude, tusonge mbele!