Wana JF;
Kwa wale walio makini katika kusoma "Body Language": Je ni ujumbe gani tunaupata kutoka kwa Walinzi hawa wa amani waliokuwepo katika Mkutano wa Kampeni za Urais wa Dr. W.P. Slaa uliofanyika Mwembetogwa Iringa?
wana jf;
kwa wale walio makini katika kusoma "body language": Je ni ujumbe gani tunaupata kutoka kwa walinzi hawa wa amani waliokuwepo katika mkutano wa kampeni za urais wa dr. W.p. Slaa uliofanyika mwembetogwa iringa?
Wana JF;
Kwa wale walio makini katika kusoma "Body Language": Je ni ujumbe gani tunaupata kutoka kwa Walinzi hawa wa amani waliokuwepo katika Mkutano wa Kampeni za Urais wa Dr. W.P. Slaa uliofanyika Mwembetogwa Iringa?
hata hao wenzetu wamepigika kikweli kiweli, mabosi wao ndio wanafaidi tuu. Kinachotakiwa wapinzani wayazungumze matatizo yao pia kwa mapana na marefu katika kampeni hizi ili na wao waweze kutumia kuchanganya maaagz na akili zao kama ambavyo jakaya aliwataka wafanyakazi wachanganye ushauri wa mgaya na akili zao.