mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 520
Habari nilizozipokea hivi punde kutoka kwa mdau wangu wa mikoani kuwa askari magereza waliokuwa wakielekea Mbeya wakirudi wakitokea kwenye gwaride la muungano wamefanya vurugu kubwa kwenye mizani baada ya basi walilokuwa wamekodi la kampuni ya Muro kuwekwa korokoroni kwa kushindwa kulipa faini ya kuzidisha uzito,askari hao hawakutaka kuelewa wala kuruhusu wenye basi kulipa faini walianza kutoa kichapo kwa watu wa mizani na kuvunja meza,viti na samani hadi askari polisi walipoingilia kati kutuliza fujo hizo.Nawasilisha