MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Aisee yule askari magereza wa butimba ametia huruma sana, ilibaki kidogo sana atumbuliwe mbele ya wafungwa, angekosa ng'ombe watatu na magunia kumi na tano ya mchele kwa ajili ya wali nyama, ila ametia huruma sana, kazi hizi ni za kubahatisha