Askari Magereza Tanzania wamezidi kuiga

Maghayo

JF-Expert Member
Oct 5, 2014
13,671
28,970
Mzuka wanajamvi!

Mbwembwe tu
Screenshot_20210619_124642.jpg
Screenshot_20210619_124416.jpg
Screenshot_20210619_124314.jpg
Screenshot_20210619_124338.jpg
 
Hao jamaa ni noma. Ogopa sana mtu aliyekula kozi ya ku handle terrorist.
Nakuambia na uelewe kuwa mafunzo ya Magereza si lelemama.
Kuna wengine wamekwenda ng'ambo kujinoa kukuhandle wewe pindi utakapoingia kwenye 18 zao.
Kuna tukio flani lilotokea kwa askari wa gereza la butimba kuna jamaa alikuja kumuokoa mwenzao yani kama movie hao jamaa hawakufua dafu na alikua mmoja tu sema aligongwa na gari ndiyo wakafanikiwa kumdhibiti
 
Back
Top Bottom