NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,003
Mkama Shapu na Koba Kimanga nani alikua moto?Ashawahi kunikamata huyu!na syo mara moja mwisho akawa mwana
Ova
Mkama Shapu na Koba Kimanga nani alikua moto?Ashawahi kunikamata huyu!na syo mara moja mwisho akawa mwana
Ova
Kuna mwingine zakaria alikuwa morogoro naye alikuwa balaaNa kabla sharp kulikuwa na polisi mmoja anaitwa jitu la mhogo alisumbua sana
Ukiwa mtu wa mazabe purukushani ya watu kama hawa kawaida tu
Sema jitu la mhogo alikuwa anapenda hela sana naye alishavuta
Ova
Mitaa ya tandale pia kulikuwa na polisi mmja ana mbioo balaa,zamani alikuwa mcheza mpira akaingia upolisi walikuwa wanamuitaAlikuwa muelewa Sana Kuna bro angu alidakwa na askari wengine kipind yupo msimbaz huyo mkamasharp alitusaidia kumtoa kabla hajahamishiwa kuja kinondon
Ila alikuwa na sifa sifa fulan za kutaka aogopeke
Mkama alikuwa anafanya kazi yke kiuwelediMkama Shapu na Koba Kimanga nani alikua moto?
Mhhh!Yupo hadi leo ferry
Koba KimangaTuweke picha ya koba kabanda naye zamani wakati tunauza sim za dili azam pale alikuwa shida
Ova
hahaha umenikumbusha mbalii Sana amunike tulikuwa tunamwita mzee wa upepoMitaa ya tandale pia kulikuwa na polisi mmja ana mbioo balaa,zamani alikuwa mcheza mpira akaingia upolisi walikuwa wanamuita
Amunike,wahuni huko wanamjua vzr
Sema naye alivutaaa
Ova
Kulikua na mechi Faru dume Vs Kagela ranger,koba akamfata muhalifu wake uwanjani'Kabla ajamvesha bangili akampiga kwanza ngumi ya mbavu changa,jamaa akatepeta kisha ndo akamvesha bangili.Mkama alikuwa anafanya kazi yke kiuweledi
Hakosei
Koba si bondia yule ubabe mwingi
Ova
Alikuwa na mbio sana Usain bolthahaha umenikumbusha mbalii Sana amunike tulikuwa tunamwita mzee wa upepo
Wakati nauza sim za deal azam pale mjiniKulikua na mechi Faru dume Vs Kagela ranger,koba akamfata muhalifu wake uwanjani'Kabla ajamvesha bangili akampiga kwanza ngumi ya mbavu changa,jamaa akatepeta kisha ndo akamvesha bangili.
Jamaa anapiga ngumi heavy weight nakoz zimetuna kama yai,lazima utepete.
Ukiacha uskari wake pia alikua,mwanamasumbwi mzuri alafu mtemi.Wakati nauza sim za deal azam pale mjini
Alinichkulia sana sim
Koba alikuwa boxer mzuri tu
Ova
Koba ngumi alikuwa anajuaUkiacha uskari wake pia alikua,mwanamasumbwi mzuri alafu mtemi.
Askari+vitasa+mtemi hapo lazima achukue simu yako tu.
Kabisa! Watu zamani wakunywa maji ya bendera hasa. Zao la mwalimu nyerere..Enzi hizo inaonekana watu walipenda kazi zao na walijivunia kutumikia taifa.
Zama zimebadilikaKabisa! Watu zamani wakunywa maji ya bendera hasa. Zao la mwalimu nyerere..
Sasa hiki kizazi cha kikwete hahaaaa. Pesa mbele kazi baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio sasa ivi wanapelekwa na Machera kufata pensheni zao uko PSPSSFEnzi hizo inaonekana watu walipenda kazi zao na walijivunia kutumikia taifa.
Huyu Mwamba alikuwa Mzee wa shughuli ile mbaya. Usiombe kukutana naye, kwanza mikwara kibao. Maana alikuwa anakuwa na pingu, bastola, mbwa na farasi pia.Kutana na kamanda Mkama sharp askari aliepata kuwa maarufu mitaa ya dar es salaam miaka ya 1980-1999. Jamaa alikuwa na uwezo wa kukamata vibaka 30 kariakoo naakawapangisha foleni uku wakielekea kituo cha polisi wenyewe yeye yupo nyuma.na a alikuwa akisimamia ulinzi uwanja wa taifa sasa uhuru alikuwa anapanda kwenye farasi alafu ana mbwa na mabomu ya machozi kiunoni na rungu mkononi
View attachment 1778082
Mwisho wa siku tunamkumbuka..Kutana na kamanda Mkama sharp askari aliepata kuwa maarufu mitaa ya dar es salaam miaka ya 1980-1999. Jamaa alikuwa na uwezo wa kukamata vibaka 30 kariakoo naakawapangisha foleni uku wakielekea kituo cha polisi wenyewe yeye yupo nyuma.na a alikuwa akisimamia ulinzi uwanja wa taifa sasa uhuru alikuwa anapanda kwenye farasi alafu ana mbwa na mabomu ya machozi kiunoni na rungu mkononi
View attachment 1778082