Askari kuua watu 'wanaodhaniwa ni majambazi' na kutoa taarifa wakijisifia ni sawa?

Hizo ni porojo tuu jf. Ulishakuwa kwenye medani wewe? Tujibizane risasi nimkwangue nisijisifu! Nieleze ni wapi jambazi kauwawa bila majibizano ya risasi? Usilete siasa kwenye mapambano wewe!
Wafanyabiashara wa madini kutoka kaskazini waliuwawa kwa kusingiziwa ni majambazi!!!
Mwanya kama huo wanaweza kuutumia polisi wasio waaminifu kwa kuwaua raia kisha kuwapora na kuwasingizia ni majambazi,nadhani hapo ndipo ilipo hoja ya mtoa mada!
Cha msingi kuwe na follow up au uchunguzi wa kina pale polisi wanapoua watu/mtu kwa mazingira yoyote!
 
Usichukulie senario moja tuu uka justify kwa kila tukio. Mara ngapi askari wanauwawa na kujeruhiwa na majambazi?

Mkuu acha ubishi kila Mtu afuate Sheria katika kutekeleza Majukumu yake ,hata Marehemu Mwangosi(R.I.P.) na Marehemu Akwilina(R.I.P.) mlisha tulisha Matango pori.

Usitetee tu kwa sababu una MB ,kumbuka haya yanatokea kwa Binadamu na wewe ni Binadamu kuna Siku yatakuhusu ujue.
 
Hizo ni porojo tuu jf. Ulishakuwa kwenye medani wewe? Tujibizane risasi nimkwangue nisijisifu! Nieleze ni wapi jambazi kauwawa bila majibizano ya risasi? Usilete siasa kwenye mapambano wewe!
Tutajuaje kama kweli uliua mtu kwenye majibizano ya risasi?

Huwa unajisikiaje unapomuua mtu bila hatia? Unahisi furaha kabisa na unarudi nyumbani kwako unawaambia wanao 'nimetoka kazini'?

Damn, i can't imagine how guilty you feel!

Ndio maana unaweza kujikuta unajibizana na mtu humu JF ukadhani ni ibilisi anayeandika kumbe ni mtu tu aliyekufa nafsi yake baada ya kuwa consumed with constant guilt everyday at work!
 
Tutajuaje kama kweli uliua mtu kwenye majibizano ya risasi?

Huwa unajisikiaje unapomuua mtu bila hatia? [unahisi furaha kabisa na unarudi nyumbani kwako unawaambia wanao 'nimetoka kazini?"]

Damn, i can't imagine how guilty you feel!

Ndio maana unaweza kujikuta unajibizana na mtu humu JF ukadhani ni ibilisi anayeandika kumbe ni mtu tu aliyekufa nafsi yake baada ya kuwa consumed na constant guilt everyday at work!

Huyo Jamaa nnaona anayo Dunia yake mwenyewe Mkuu.
 
Kila siku tunaona raia wa kawaida tu akikamatwa asomewi “Miranda Rights” zake sasa tena jambazi.

Hawa majambazi na wao wanavyoua wala si wakuonewa huruma kabisa.
 
Kumekuwa na utaratibu ambao umezoeleka wa askari wetu kutoka kwenye vyombo vya habari na kujisifia kua wameua majambazi!

Binafsi sifurahii hii picha askari wanayoitoa, sijui wewe!

Tunajuaje kama hawa ni majambazi kweli?
Au ukishaitwa jambazi na askari tayari unakua jambazi!

Mahakama ni ya nini kama askari wanatoa hukumu wenyewe?
Utaratibu huu ukiachwa uendelee, yeyote kati yetu na siku yoyote anaweza kuitwa jambazi na kupigwa risasi za kutosha!

Askari anaposema ameua jambazi ni nani mwingine anayeenda kuchunguza kuhakiki kama aliyeuawa ni jambazi?
Hizi roadside justice zinazotumika kupandisha watu vyeo, sikumoja zitatupoteza.

Kama askari amepata taarifa kuwa kuna uhalifu unataka kutokea, kwanini asimkamate mshukiwa na kuepusha uhalifu kabla haujatokea?
Kwanini ajipange tu kuua?

Kuna tabia katikati yetu hazipaswi kupewa nafasi!
Ukatili na kuhalalisha mauaji katija awamu hii ni moja ya vitu vinavyoshusha heshima yetu kama taifa!
S maswala yote ya ulinz na usalama mtaelezwa kama magazet ya kiu na ijumaa Kuna vitu mnapaswa kujua na vingne hupasw kujua na hamtokaa kujua elewa Hilo wew jua unalala kwa Aman na unagegeda bila kusikia mlio wa bomu au risas na unarud kwako muda wowote unaotaka

Labda ukutane na vibaka mnao wajua na kuwalinda kisa mtoto wa fulani
 
Kumekuwa na utaratibu ambao umezoeleka wa askari wetu kutoka kwenye vyombo vya habari na kujisifia kua wameua majambazi!

Binafsi sifurahii hii picha askari wanayoitoa, sijui wewe!

Tunajuaje kama hawa ni majambazi kweli?
Au ukishaitwa jambazi na askari tayari unakua jambazi!

Mahakama ni ya nini kama askari wanatoa hukumu wenyewe?
Utaratibu huu ukiachwa uendelee, yeyote kati yetu na siku yoyote anaweza kuitwa jambazi na kupigwa risasi za kutosha!

Askari anaposema ameua jambazi ni nani mwingine anayeenda kuchunguza kuhakiki kama aliyeuawa ni jambazi?
Hizi roadside justice zinazotumika kupandisha watu vyeo, sikumoja zitatupoteza.

Kama askari amepata taarifa kuwa kuna uhalifu unataka kutokea, kwanini asimkamate mshukiwa na kuepusha uhalifu kabla haujatokea?
Kwanini ajipange tu kuua?

Kuna tabia katikati yetu hazipaswi kupewa nafasi!
Ukatili na kuhalalisha mauaji katija awamu hii ni moja ya vitu vinavyoshusha heshima yetu kama taifa!
kiukweli huu mtindo sio mzuri japo Magufuri ndio amewapa go ahead,
Watauliwa hata wasio ña hatia,japo majambazi Kweli hawafai, ila Kwa tabia Ya polisi wa kibongo watauliwa ht wasio ña hatia
 
Tutajuaje kama kweli uliua mtu kwenye majibizano ya risasi?

Huwa unajisikiaje unapomuua mtu bila hatia? Unahisi furaha kabisa na unarudi nyumbani kwako unawaambia wanao 'nimetoka kazini'?

Damn, i can't imagine how guilty you feel!

Ndio maana unaweza kujikuta unajibizana na mtu humu JF ukadhani ni ibilisi anayeandika kumbe ni mtu tu aliyekufa nafsi yake baada ya kuwa consumed with constant guilt everyday at work!
Mapambano sio dinner party, hizo porojo ni humu jf tuu. Utakuta kwako hukosi rungu, au panga, au silaha yoyote ya kujihami. kwanini uwe nayo? Ili akijitokeza mtu wa aina hiyo ushughulike naye akikuwahi akuue, ukimuwahi umuue. Majambazi sio watu wazuri.
 
Mkuu acha ubishi kila Mtu afuate Sheria katika kutekeleza Majukumu yake ,hata Marehemu Mwangosi(R.I.P.) na Marehemu Akwilina(R.I.P.) mlisha tulisha Matango pori.

Usitetee tu kwa sababu una MB ,kumbuka haya yanatokea kwa Binadamu na wewe ni Binadamu kuna Siku yatakuhusu ujue.
Kila mmoja afanye kazi yake. Ukipenda kuwa jambazi fanya na polisi atafanya kazi yake, mwananchi atachoma moto, n.k Tusipotezeane muda kwa eutopian thinking.
 
Wafanyabiashara wa madini kutoka kaskazini waliuwawa kwa kusingiziwa ni majambazi!!!
Mwanya kama huo wanaweza kuutumia polisi wasio waaminifu kwa kuwaua raia kisha kuwapora na kuwasingizia ni majambazi,nadhani hapo ndipo ilipo hoja ya mtoa mada!
Cha msingi kuwe na follow up au uchunguzi wa kina pale polisi wanapoua watu/mtu kwa mazingira yoyote!
Walau wewe umekuja na mawazo yaliyo balance kuliko hata mtoa mada.
 
Mara nyingi kama siyo mara zote wanaodhaniwa kuwa majambazi huuawa na polisi katika majibizano ya risasi. Sijawahi sikia polisi wamemkuta mtu anayedhaniwa jambazi wakampiga risasi bila yeye kutumia nguvu kukimbia. Kama wewe ungekuwa polisi kuna mtu hujui kama ni jambazi au la anarusha risasi ungeenda kumkamata kwa mikono? Nadhani usingekuwepo duniani. Mtu yeyote akirusha risasi lazima ajibiwe na risasi za polisi na ikiwezekana auawe tu maana akikimbia na hiyo silaha madhara yake ni makubwa.
Safi sana polisi yeyote akiwarushia risasi lazima ajibiwe kwa risasi akipona bahati yake.
Mkuu hata wewe siku ukimiminiwa risasi watu watarahisisha tu na kusema ulikuwa jambazi kwa sababu hakuna mfuatiliaji makini wa kuthibitisha kwamba Ni kweli wewe ni jambazi au la.
Hiki ndicho anachojaribu kuzungumza mtoa mada na hakusema kuwa majambazi waachwe tu.
Ilishawahi kutokea Kuna kijana mmoja alikuwa mwanachuo ametoka lecture anarudi zake nyumbani kufika barabarani wakamvaa na kummiminia risasi hadi kufa.
Kwa hiyo hivi ndivyo vitu vya kukemea kwa sababu ipo siku itakutokea na ww
 
Unao uhakika kuwa walio uwawa wote kwenye Majibizano walikuwa ni Wezi !?..

Unaikumbuka Kesi ya Zombe na Askari wenzie !?

Unakumbuka walicho tuaminisha katika Taarifa zao na Ukweli halisi ulio semwa Mahakamani !?
Kutokana na utata huo ndo maana kesi ilifikishwa mahakamanai. Na kwa maana hiyo, mztukio yasiyo na utata hayafiki mahakamani.
 
Mapambano sio dinner party, hizo porojo ni humu jf tuu. Utakuta kwako hukosi rungu, au panga, au silaha yoyote ya kujihami. kwanini uwe nayo? Ili akijitokeza mtu wa aina hiyo ushughulike naye akikuwahi akuue, ukimuwahi umuue. Majambazi sio watu wazuri.
Mbona unajitetea sana?
 
Askari wamegeuka Mahakama kitaambo sana na hii ilichochewa na Kauli za Baadhi ya Watawala hasa zile zilizowahi kutolewa kutoka kwa Mhimili ulio jichimbia,Wananchi nao wamekuwa wapole sana kiasi ime zoeleka sasa ni mwendo wa kuuwana na kutafutiana jina baya ili kuhalalisha mauaji.Tukumbuke Maiti haina usemi tena so inaweza kusingiziwa chochote na ikakubalika.
Mkuu ni watu wachache sana wenye akili ndio wanaelewa vitu Kama hivi.
Majitu mengine ni mazito sana kichwani na ndio maana unyanyasaji unaendelea kuwepo.
 
Mara nyingi kama siyo mara zote wanaodhaniwa kuwa majambazi huuawa na polisi katika majibizano ya risasi. Sijawahi sikia polisi wamemkuta mtu anayedhaniwa jambazi wakampiga risasi bila yeye kutumia nguvu kukimbia. Kama wewe ungekuwa polisi kuna mtu hujui kama ni jambazi au la anarusha risasi ungeenda kumkamata kwa mikono? Nadhani usingekuwepo duniani. Mtu yeyote akirusha risasi lazima ajibiwe na risasi za polisi na ikiwezekana auawe tu maana akikimbia na hiyo silaha madhara yake ni makubwa.
Safi sana polisi yeyote akiwarushia risasi lazima ajibiwe kwa risasi akipona bahati yake.
Wewe ni mgeni Nchi hii? Imrani Kombe alijibizana risasi na Polisi?, Daudi Mwangosi je,? Akwilina? Wale Wafanyabiashara wa madini (kesi ya Zombe) nao walijibishana risasi?
 
Back
Top Bottom