Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,791
- 3,360
1. Mbunge ni Kiongozi.
2. Mbunge ni mwakilishi wa umma
3. Mbunge ni mtunga sheria zinazohusu maisha yetu na ya askari pia.
4. Mbunge ni mtu anayehishimika na anaheshimiwa. Kabla ya kutaja jina lake tunaanza na neno Mheshimiwa (Honarable).
Ni nini kinapelekea hadi Mbunge apigwe kama kibaka tena mbele ya umma uliomuamini na uliomchagua?
Je, umuhimu wa hawa watu kwa hayo manne niliyoyataja umeondoka?
Matatizo yetu kama wananchi au askari yatawakilishwaje kunakohusika endapo tutatia vilema wabunge wetu?
Je, hatuna njia mbadala ya kudeal na mbunge mkosefu bila kumpiga au kumtia kilema?
Hili linatutia doa sana mbele ya jamii na dunia.
2. Mbunge ni mwakilishi wa umma
3. Mbunge ni mtunga sheria zinazohusu maisha yetu na ya askari pia.
4. Mbunge ni mtu anayehishimika na anaheshimiwa. Kabla ya kutaja jina lake tunaanza na neno Mheshimiwa (Honarable).
Ni nini kinapelekea hadi Mbunge apigwe kama kibaka tena mbele ya umma uliomuamini na uliomchagua?
Je, umuhimu wa hawa watu kwa hayo manne niliyoyataja umeondoka?
Matatizo yetu kama wananchi au askari yatawakilishwaje kunakohusika endapo tutatia vilema wabunge wetu?
Je, hatuna njia mbadala ya kudeal na mbunge mkosefu bila kumpiga au kumtia kilema?
Hili linatutia doa sana mbele ya jamii na dunia.