Walimnyanyua juu ya bastola yake kiunoniWalimbebaje?
Luca naomba picha hata ikibidi PM yangu iko wazi mkuu, duuuuu!!!Walimnyanyua juu ya bastola yake kiunoni
Angalia magazines za leo utaonaLuca naomba picha hata ikibidi PM yangu iko wazi mkuu, duuuuu!!!
Yaani mie nikwambie mkuu Odhiambo cairo nimeshakuwa mlevi wa JF, hata TV wala redio havinishughulishi!!! Nikisoma habari JF basi naridhika kabisa, hata bei za magazeti kwa sasa sizijuiAngalia magazines za leo utaona
Embu oredhesha sheria mbalimbali ambazo zinazuia mtu kubebwa.Tangu Uhuru sijawahi kuona kile nilichokiona mwaka huu Kwa Mh. mkuu wa mkoa DSM kupongezwa na Askari. Kwa tusiofahamu ile ni kawaida au kuna sheria fulani ilivunjwa?
Trueweka PICHA
Yule ni kiongozi wetu sote, anafanya yote kwaajili yetu na tunamlipa sisi kwa hilo.japo simkubali makonda, ila nanyi mmezidi kwa kutafuta vimakosa utadhani nyie ni malaika,
you devote most of your time snitching about others, but nothing you can earn from that task you've assigned yourself!