Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,809
Nchi ya wehu hii
hakika mkuu yani ya kenge ndio nyama tamu kuliko zote at a ya mamba haioni ndani!Mkuu!
nyama safi Sana aisee kumbe alikuwa ana juwa vitu vizuriMagufuli alikuwa anapenda sana kula chatu
Tena alipendelea sehemu ya kichwa na tumbonyama safi Sana aisee kumbe alikuwa ana juwa vitu vizuri
kichwa chake kama cha bata nyama zipo kwenye shingo tuTena alipendelea sehemu ya kichwa na tumbo
Nakumbuka mwaka 2020 aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla alimtuhumu aliyekuwa Meya wa Iringa kuwa ametenda kosa la ujangili baada ya kupakia picha kwenye mtandao wa Twitter akiwa amemuua nyoka aina ya chatu. Zaidi soma Dtk. Kigwangalla amtuhumu Alex Kimbe kwa ujangili baada ya kuua chatu
Leo nimekutana na video ikimuonesha Askari wa JWTZ akiwa anajinadi kwa kumuua nyoka mkubwa aina ya chatu. Ukimsikiliza vizuri utagundua kwamba nyoka huyo hakuwa katika mazingira ya kuleta madhara yoyote kwa binadamu, ni kwamba alikuwa katika mazingira yake ya maisha ya kila siku. Kitendo cha Askari huyo kumuua bila sababu za msingi si kitu cha kufumbia macho.
Nyoka mkubwa kama yule anachukua muda mrefu kufikia ukubwa ule, na pia anapitia katika mazingira hatari tokea kuanguliwa ikiwa pamoja na kuwindwa na wanyama wengine hatari. Anapoweza kukabiliana na hatari zote mpaka kufikia ukubwa ule ni suala la kushukuru.
Huyu Askari angetumia busara hata kuwaita maafisa wanyama pori waje kumchukua, mnyama kama huyu ni kivutio kikubwa sana cha utalii, anaweza akaleta mapato makubwa sana akiwekwa kwa snake park
upo sahihi, lakini angetakiwa awasiliane na askari wa maliasili wangekuja kumchukua na kumhifadhi au kumrudisha katika pori ambalo angekuwa salamaNi hadi ameze mtoto ndipo mseme angemuua. Kumbuka huyo sio kiumbe rafiki hata kidogo na alipokuwepo kuna naingiliano ya karibu na watu. Wewe ni kati ya Ndezi wanaokosoa kila jambo
Wacha ujinga wa kukariri, chatu si nyoka hatari. Hana sumu na akigundua sehemu ina watu hawezi kuja kwani anajua atauliwa.Askari kafanya Jambo jema Sana chatu ni hatari
Napendekeza posho iwe ya kutosha kwake
Nenda karibu yake ndo utajua hujui Kama Ni hatari au laaWacha ujinga wa kukariri, chatu si nyoka hatari. Hana sumu na akigundua sehemu ina watu hawezi kuja kwani anajua atauliwa.
Sasa nitakuambia kitu nisichokijuwa, mbona uko mpuuzi hivyo?Nenda karibu yake ndo utajua hujui Kama Ni hatari au laa
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Halafu "guard" ya usiku ungeenda wewe mkuu? Mtu umeona hatr halafu akaite maliasili?kuna mdau hapo ameeleza kabisa uhatari wa chatu na namna anavyoweza kudhuru halafu mnasema akaite maliasili. Hizi theory za darasani ziacheni wakuu.upo sahihi, lakini angetakiwa awasiliane na askari wa maliasili wangekuja kumchukua na kumhifadhi au kumrudisha katika pori ambalo angekuwa salama
Huna akili,yaani mnyama akawe muhimu kuliko binadamu.Jibu hoja mkuu na bila shaka nawe una file pale Mirembe,ukatili wa wanyama ni wa kishenzi,ukija kwangu na ukamfanyia ukatili mbwa au paka wangu nitakurudisha kwa njia iliyokuleta faster
wakati huo anapiga simu na kuchati nao hadi maliasili waanze kuandaa mafuta ya gari huyo nyoka unafikiri angetulia tu kuwasubiri maliasili waje?unafikiri ni kuku yule eeh?umetoa comment ya kitoto kabisaupo sahihi, lakini angetakiwa awasiliane na askari wa maliasili wangekuja kumchukua na kumhifadhi au kumrudisha katika pori ambalo angekuwa salama
BINAFSI CLIP HII YA ASKARI WA JWTZ ILINISIKITISHA SANA, anaona sifa kumwua chatu na wengine wakamwita jasiri hawakujiuliza taifa limepoteza nini kwa sifa za mjeda huyu asiyejitambua