Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,462
- 2,219
Sawa super hero wa kweny key boardYou're a good sample of a Wasted Sperm.
Sawa super hero wa kweny key boardYou're a good sample of a Wasted Sperm.
Yeah I'm a typical Keyboard Warrior ok?Sawa super hero wa kweny key board
Sikupingi mkurungwa ila kawaguse afu leta mrejesho, Siku njemaYeah I'm a typical Keyboard Warrior ok?
Absolutely Hogwash!!Sikupingi mkurungwa ila kawaguse afu leta mrejesho, Siku njema
Kuuwawa❌Waafrika hasa hao ( Wamarekani Weusi ) hawajaanza Kuuwawa ( Kuuliwa ) Kinyama na Wazungu ( Wamarekani ) Leo na Sisi huku tukifurahia hii Hukumu ni Kazi bure na wataendelea tu Kuwauwa.
Na kinachonishangaza zaidi ni kwamba Sisi Waafrika huku Kwetu 'tumeshupalia' hili 'Sakata' na kuona kuwa ni baya wakati huku huku Kwetu Afrika Waafrika tunauana 'Kinyama' tena 24/7 huku Viongozi ( Marais ) nao 'Wakiua' sana Watu ( hasa Watesi wao ) lakini 'hatushupai' hivi na tunanyama na kuona ni sawa tu
Tatizo Kubwa la Sisi Waafrika ni Unafiki.
Umeielewa mada lakini? mada inazungumzia haki ilivyotendeka huko marekaniHaki iko mbinguni
WanakusalimuUmeielewa mada lakini? mada inazungumzia haki ilivyotendeka huko marekani
hoja yako inaleta maana kuwa marekani ni mbinguni,
misemo mingi ya kihenga imejificha katika unafiki uliopitiliza , else where they never exist .
Poa tumekusikia hakimu mkazi wa Buza.Huyo marehemu alikuwa mbishi ndio maana yametokea yote hayo.
Huyo police ni clearly innocent.
Hayo maamuzi yamefanyika ili kufurahisha black americans.
Uliliona lile tukio?Huyo marehemu alikuwa mbishi ndio maana yametokea yote hayo.
Huyo police ni clearly innocent.
Hayo maamuzi yamefanyika ili kufurahisha black americans.
haha kijana unafelliWanakusalimuView attachment 1758952
Sema nini chief, angekua trump hii kesi ingepindishwa huo ndiyo ukweli, maana trump tangu awali alionyesha dalili za kuwa na upande,sio kama huku kwetu mzeee !, wenzetu ni system inafanya kazi , hawategemei utashi wa rais .
katiba ikiwa nzuri hata mahakama zitafanya kazi vizuri
Kutochukua hatu pia isingebadilisha hiyo mitazamo uliyonayo, unasahau ukoloni ulianza mbali sana ila tukajikomboa kwa hatua za awali, pia hili ni jambo linalochochea mabadiliko juu ya unyanyapaa wa watu weusi, ni bora kitu kuliko kutokufanya kitu kabisaWaafrika hasa hao ( Wamarekani Weusi ) hawajaanza Kuuwawa ( Kuuliwa ) Kinyama na Wazungu ( Wamarekani ) Leo na Sisi huku tukifurahia hii Hukumu ni Kazi bure na wataendelea tu Kuwauwa.
Na kinachonishangaza zaidi ni kwamba Sisi Waafrika huku Kwetu 'tumeshupalia' hili 'Sakata' na kuona kuwa ni baya wakati huku huku Kwetu Afrika Waafrika tunauana 'Kinyama' tena 24/7 huku Viongozi ( Marais ) nao 'Wakiua' sana Watu ( hasa Watesi wao ) lakini 'hatushupai' hivi na tunanyama na kuona ni sawa tu
Tatizo Kubwa la Sisi Waafrika ni Unafiki.
Huyo marehemu alikuwa mbishi ndio maana yametokea yote hayo.
Huyo police ni clearly innocent.
Hayo maamuzi yamefanyika ili kufurahisha black americans.
Mkuu hii first degree murder unaweza toa elimu kidogo
Wewe utakuwa mtu wa kwanza duniani kuweza kusikia maandishi tangu dunia ianze.Poa tumekusikia hakimu mkazi wa Buza.