D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,160
- 3,258
Askari anayejiita Faru John amejisalimisha muda huu kwa Kamanda wa Kanda Maalum DSM, bwana Lazaro Mambosasa kutokana na agizo alilolitoa jana Mbagala
HahahahaahahahaNdio yule wa waziri mkuu?
Dah afadhali kapatikana.
safi sana...nasikia huyo bwege anasumbua sana vijana wa boda boda wa mtoni kijichi.Askari anayejiita Faru John amejisalimisha muda huu kwa Kamanda wa Kanda Maalum DSM, bwana Lazaro Mambosasa kutokana na agizo alilolitoa jana Mbagala
alizingua nini?....au wananchi walienda kumchongea?Askari anayejiita Faru John amejisalimisha muda huu kwa Kamanda wa Kanda Maalum DSM, bwana Lazaro Mambosasa kutokana na agizo alilolitoa jana Mbagala
Bora maana nilitukanana naye sana huyo mbwaAskari anayejiita Faru John amejisalimisha muda huu kwa Kamanda wa Kanda Maalum DSM, bwana Lazaro Mambosasa kutokana na agizo alilolitoa jana Mbagala
Bora maana nilitukanana naye sana huyo mbwa