Askari alokutwa hospital ndie mtuhumiwa no.1

Tulio mikoani tunaona mazingira mabpvu ya kazi ambayo madaktari wanalazimishwa kufanyia kazi kitu ambacho kina ulimboka kinawapa nguvu kufanya mgomo, si kuttea maslahi yao bnafsi tu bali ya watanzania. Nyie mnaotukana madaktari ndio ninyininyi mnao lalamika huduma mbofu kisa mkienda hospitai mkiambiwa mnunue vifaa wakati vinatakiwa kutolewa bure ila gov haitimilizi, wao wanaenda nje! Hospitali moja kubwa wakati fulani ilikua haina hata syringe...these are the issues mgomo huu una adress, na ndio maana utaendelea.
 
zomba mbona unanitisha...does that approach solve the problem? Killing one person will not kill the ideology....You know it well

Sikutishi ndugu yangu, huyo mtu mmoja maelfu ya vifo halafu bado abembelezwe? sasa ideology kwenye wagonjwa? ideology na siasa tufanye kwenye majukwaa ya siasa siyo kwenye vitanda vya wagonjwa.
 
abanwe huyo huyo....anajua kila kitu.....
Hoja nyepesi sana. Kwahiyo kama huyo hajui upelelezi ndio uishie hapo? Kamanda kabainisha wazi wazi kuwa yule askari alikuwa kazini na hizo ndio kazi za polisi hilo halina mjadala. Watuhumiwa wa Ulimboka ni wengi sana kwasababu alikuwa kiongozi wa mgomo ambao una athari/maslahi kwa wengi sana. Mtuhumiwa anaweza kuwa
2. Mtu aliye poteza maslahi kutokana na mgomo huo.
2. Ndugu au jamaa wa mgonjwa ambaye kwa sasa ni marehemu na kama angepata matibabu angeweza kupona.
2. Serikali ambayo mgomo huu ulikuwa unaiyumbisha sana.
2. Madaktari ambao hawapendi mgomo.
1.Mtu ambaye alitaka kuchochea mgomo.
2.Mtu mwenye ugomvi binafsi na Dr Uli

Wabongo wa sasa si rahisi sana kutafuniwa na kulishwa wana uelewa wa kutosha.

Pole Dr Uli kwa maswaiba yaliokukuta inawezekana umetolewa kafara ili yatimie.

Tunakuombea upone upesi
 
Hivi hao maafisa usalama wakiugua watapelekwa India pia? Na wake zao wakitaka kujifungua watapelekea Johanesburg? Madaktari wakiamua kuwafanya unyama maafisa usalama watasalimika? Wakiamua kuwadunga sindano zenye virusi au sumu watakwepa? Mbona wanatangaza vita wasiyoiweza?

Wanajidai kwa vile wanaka-hospitali kao pale Kijitonyama.lakini wee waache tu iko siku.
 
Utumwe kuua na bunduki unayo usimpige hata nusu risasi? highly unprofessional.
Mwanawane mpango labda ulikuwa ni huo. kumchukua sehemu ya public, Kumpiga huku wakiongea kwa sauti awasikie na awaamini kwenda kumtupa msitu uleule waliouawa wale wafanyabiashara bado akiwa hai na halafu taarifa ziwafikie watu maalum mapema alfajiri.
 
Sasa Mpoki unalalamika nini? Wale watanzania mliowagomea kuwatibu bila shka mmeelewa machungu yao. Nyie madktari hamna lolote just a bunch of cronies of chadema! Unallamika ulimboka kchelewa kupewa huduma? Nyinyi mnavyogoma kuwapatia wananchi huduma? Shame on you!

Hao watanzania unaosemea unataka watibiwe halafu walale chini??? Unataka watibiwe na kufanyiwa upasuaji bila ganzi ya kutosha??? Unataka watibiwe na vifaa vya mwaka 47???? Madaktari ni wasomi ........... degree yao ni miaka mingi sana - masomo yao ni magumu sana na ni watu wana-deal na afya za watu............. NDIO MAANA WANATETEA TUPATE HUDUMA BORA - na wao pia walipwe vizuri............TOFAUTISHA KATI YA DAKTARI NA MBUNGE WA KUTEULIWA WA VITI MAALUMU - HELA ZA KUWALIPA HAO WABUNGE ZIPO - KWANI WANA FAIDA GANI??? WENGINE 5 YEARS HAWASEMI CHOCHOTE BUNGENI - ILA KIKAO KIMOJA 200,000/= NA MADAKTARI WETU JE??? KAMA WAKIFANYA KAZI KWA STRESS UNADHANI WATATIBU VIZURI????????????? usiwaseme tafadhali - kwani wewe ulishindwa kuchukua masomo ya SCIENCE - ndio maana huoni MADAKTARI NI WA MAANA ..... UNATAKA WATOE UJUZI WAO BURE ....... SERIKALI YA CCM IS NOT FAIR
 
Jamani yule ndiye mtu ambaye angeanzisha upelelezi ambao ndio ungeleta jibu la chanzo cha tukio. Sasa tunasikitika amepigwa.

Si umeambiwa na Kova kwamba ni mkuu wa upelelezi kituo cha salenda? Lazima uwezekano uwepo kuhusika kwa sababu hata sehemu waliyomtekea Ulimboka (Leaders Clum) ni karibu sana na Salenda bridge police station, japo ni wilaya tofauti. Sasa mpelelezi mkuu atapelelezwa na mpelelezi gani tena? Mchezo uanzie yule aliyempigia simu Ulimboka kwamba wakutane kuzungumza na huyo ndiye aliyekuwapo walipomtimua Deo kisha kumteka Ulimboka. Walidhani wameua kumbe ndio kwanza kunapambazuka. Serikali ya pita pinda liwalo liwe imeumbuka kishenzi yaani!
 
Mwanawane mpango labda ulikuwa ni huo. kumchukua sehemu ya public, Kumpiga huku wakiongea kwa sauti awasikie na awaamini kwenda kumtupa msitu uleule waliouawa wale wafanyabiashara bado akiwa hai na halafu taarifa ziwafikie watu maalum mapema alfajiri.

Hiyo pekee inaonesha kuwa hawa watu wamepanga hivyo ili kutia hii nchi kwenye fitna. Hawatafanikiwa.
 
Bwana Yseu alisema "Tutawatambua kwa matendo yao". He behaved very suspiciously.
 
Binafsi nimefarijika sana na kipigo alichokipata Ulimboka huo ndo mshahara wa dhambi. Yeye amewaongoza wenzake kuacha roho za watu maskini wa nchi hii waliokuwa na uwezo wa kwenda kununua panadol wafe. Madaktari chini ya uratibu wake wameendelea kugoma kwa kudai maslahi yao, wakati wanajua kugoma kwako hawawakomoi Kikwete wa wala Pinda ila wanamkomoa Babu yangu mzaa Mama aliyefikia Bugando Hospitali wakati anasubili kufanyiwa upasuaji wa kibofu cha Mkojo, yeye akawahimiza wenzake wagome.

Nimefarijika kwamba hawakumuua ila wamemuonesha kwamba, huo ndiyo MSHAHARA WA DHAMBI anazowaongoza wenzake kuzifanya za kuacha roho za wananchi maskini wakiteseka kwa kutaka kuongewezwa fedha.

kuna namna nyingi za kudai maslahi yao kama ni sahihi lakini siyo kwa kuacha kumtibu Mgonjwa ambaye hana mbele wala nyuma.

Kwa kweli sina huruma na Madaktari kabisa waliogoma sina huruma na huyu kikaragosi wao Ulimboka na wote waliogoma. Inakuwaje haki za Binadamu anapopigwa Ulimboka lakini hiyo haki ya Binadamu haisemwi pale roho za wasio kuwa na hatia zkitoka kwa UJINGA na UPUMBAVU na TAMAA na KUTOKUWA NA HURUMA kwa Madaktari waliosomeshwa kwa fedha za mlima tumbaku kule Tabora au Korosho kule Mtwara au Pamba kule mwanza n.k ambaye ushuru wa mazao yake ndiyo unaowasomesha Madaktari na wanakuwa na VIBURI vya kuacha kuwahudumia na wanakufa!!!

Nimefurahi sana na kufarijika sasa acha akae Hospitali apewe huduma kisha avae nafsi ya mtanzania aliyevamiwa na majambazi akapigwa na kuwa kama yeye kisha afike Hospitali na hali aliyokuwa nayo yeye Ulimboka na akute yeye Ulimboka amewaongoza wenzake kugoma. Ndugu zake na yeye mwenyewe wangejisikiaje??

Huduma zenyewe zinazotolewa na Madkatari wetu ni "MAGUMASHI MATUPU" huduma wanazotoa ni kama wako kwenye MGOMO kila siku.

Natumaini umeshafarijika vya kutosha kwa kupigwa Ulimboka.Hebu tuambie walikulipa bei gani kwa kitendo hicho na vip dau halikupungua kwa kutokummaliza kabisa.Sasa nimeamini hata shetani huwa anajua maandiko umekazaaaana mshahara wa dhambi ni mauti ila hukujua kuna andiko linalosema usilipe kisasi.kama alikosea kuna njia za kumkosoa sasa mbona hujatoa ushauri hao madaktari wafanyeje ili wasikilizwe?Hongera maana wewe unaijua kesho yako.
 
madaktari pale walikulupuka kumpiga yule jamaa sasa kwa vile wanaona taalum yao ni bora kuliko zote basi na upelelezi wafanye wenyewe

Unahitajika upelelezi kwa ajili ya nini? unataka tupewe majibu ya kujistify kuwa serikali haikuhusika? au tuambie wale waliomteka ni serikali kutuliza hali ya hewa!! huu upelelezi kwa nchi yetu ilipofikia hauna maana yoyote!!
 
what if madaktari wakitangaza vita na wagonjwa ambao ni wanausalama nani atashinda?. Hili suala kina mwema wasilichukulie kijuujuu lina effect kubwa sana kwa askari wa kawaida. Wanatakiwa kuweka kila kitu wazi na kuwakana wale wote waliosuka mpango huu unprofessional.

it was very unprofessional indeed
 
Back
Top Bottom