Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Kamanda wa polisi amehojiwa TBC1 akasema kuwa wananchi waache kuchukua sheria mikononi yule askari pale Muhimbiri alikuwa anafanya upelelezi kujua kilichotokea, hivyo inaonekana wananchi wameharibu taratibu za kipelelezi, hivyo tunaweza tusipate kitu chochote kizuri.
Nawakilisha niliyosikiliza.
What a lame excuse!
Huyu KOVA kasomea wapi aisee? Kwani je huyo askari angekufa kwa ajai au ugonjwa, ina maana jeshi zima au kikosi kizima cha upelelezi kingekufa anaye?