Nadhani waliomuweka mahabusu nao wana panick zao labda walitaka waonekane wanatenda kazi, nadhani adhabu yake ingekuwa kumsimamisha kazi kaw siku mbili tatu na kumrudisha chuo cha polisi japo kwa mwezi ili ajifunze. Nadhani baadhi ya haya matatizo yanasababishwa na kutokuwa na miongozi kabambe ya aina ya adhabu wanazoweza pewa watumishi baada ya makosa fulani fulani, hii ni kwa idara zoto za serikali si polis tu. Kama kuna miongozo yoyote basi ipitiwe tena ili mambo kama haya yasijirudie.