Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
Hii ndio busara na hekima ambayo mzee wangu ulipaswa uanze nayo tangu kule mwanzo, hakika tusinge puuzana kiasi kile...Nshinda,
Yericko ndiyo kaanza sasa kuandika tuna wajibu wa kumtia moyo.
Nakushukuru sana kwa kurejea mezani pa uungwana, hekima na busara...