Asiyoyajua Yericko Nyerere katika utafiti wa historia ya Mapinduzi ya Zanzibar

Pamoja na ukweli wa hoja zako lkn unaonekana ww ni mbinafsi,mchoyo na mwenye wivu wa dhahiri...na unanisononesha zaidi kwa kua umri umeshakwenda,laiti ungelikua kijana ningesema maneno mabaya zaidi.

Mara nyingi unapoteza nguvu nyingi kubishana na kazi za Yericko kwa nukta nukta za ukweli unaoujua.
Ombi langu kwako kusanya kila unachokijua halafu tuandikie kitabu ukisambaze na tukisome kama alivyofanya Yericko kuliko hili povu lako la kila mara.

Mm binafsi nimesoma historia ya mapinduzi ya Zanzibar ktk vitabu vitatu tofauti na vyote vina vitu vinakinzana na kingine..Lkn pia nimesoma historia ya Zanzibar kupitia makala za Joseph Mihangwa ktk gazeti la RAI .Na kwa kutumia akili yangu nimekubaliana na aliyoandika Mihangwa kwa 65% zaidi ya kwenye vitabu nilivyosoma.

Sasa baba ANDIKA ..ANDIKA baba tusome.

HUU UNAFIKI WA KUJUA VITU HALAFU UNAA NAVYO MPAKA UFE NAVYO UTATUSAIDIA NINI SISI WA KIZAZI HIKI.
BILA YERICKO KUANDIKA UNGELIBISHANIA WAPI.
 
Mzee wangu inamana kijana kajifungia ndani na printer yake kutoka kaja na kitabu tayari?
Hiii amakweli ujasiriamali umepamba moto sasa ata maadili ya kazi za uandishi yamepotea.
Deluxe...
Ili kitabu kiwe kitabu kuna mambo mengi ya kuzingatia.

Kubwa ni kuwa iwe kazi yako mweyewe isiwe kazi ya kunakiki yale
ambayo yamekwisha andikwa na watu wengine.

Publisher akipokea mswada wa kitabu hiki ndicho kitu cha kwanza
ataangalia.

Pili kazi ije na elimu mpya na hapa ndipo kinapouzika kitabu.
Tatu kitabu lazima kiwe na ISBN kwa ajili ya utambulisho.

Ikiwa utaandika mwenyewe kitabu kisha ukakipeleka kwa ''printer,''
ukakichapa na wewe mwenyewe ukawa ndiyo mtu wa masoko
unakisambaza mwenyewe nk.

Kweli unacho kitabu lakini hakitafika mbali utauza nakala chache sana.
Wauzaji vitabu hupata vitabu kutoka kwa ''publisher,'' siyo kwa mwandishi.

Haya ni kwa mukhtasari.
 

Senator,
Yawezekana hujasoma haya niliyoandika kwa hiyo nakuwekea hapo
chini tafadhali angalia tarehe niliyoandika maneno hayo:

  1. #24
    Jul 17, 2017

    Trophy Points: 280
    WanaMajlis,
    Angalieni maneno niliyoandika hapo chini na angalieni tarehe yake.

    Wakudadavua,
    ''Huyu ndugu yangu ana mambo.

    Kitabu hakina publisher, hakina ISBN hakina chochote wala huko
    Amazon hakipo.

    Nimempa darsa zima vipi mambo ya uchapaji wa vitabu ulivyo yeye
    kabakia na jeuri na ubishi ambao haumsaidii lolote ila kuzidi kumtia
    katika kundi la wachekeshaji.

    Angalia hapo chini ''blarb,'' kama ilivyoandikwa na Yericko:
    Angalia ''kitabu,'' cha Yericko hicho anasema
    kipo Amazon na Amazon hawana hicho, ''kitabu.''

    Nilimweleza haya baada ya kutambua hakuwa anajua kitu katika tasnia
    ya ''publishing.''

    Napenda nihitimishe ha hii hapo chini:

    (Good history to start with, lakini Yericko wewe si nasikia huwa unaandika vitabu? Kama ndivyo, mbona una punctuation mbovu kiasi hiki? In addition, for your own benefit, hukutakiwa kuweka link kavu ya Amazon bali link ya hicho kitabu! Na hicho kitabu chenyewe binafsi nimeshindwa kukiona kupitia hiyo Amazon main link!)

    Katika mabano ni watu wengine wanafanya comments.

    Mimi nakaandika hayo maneno hapo chini:
    ''Bado niko na wewe Yericko. Nimekuwekea darsa zima kuhusu uandishi wa vitabu. Meza kibri chako na soma na zingatia. Umesema uko Amazon lakini ukweli ni kuwa hawakujui huko. Mimi nimeingia Amazon toka mwaka wa 1998 kwa hiyo nawajua vyema. Kuna kitu lazima ukijue pia. Amazon hujipeleki. Amazon unapelekwa na ''publishers,'' na ''booksellers'' yaani wauza vitabu. Kuna kitu kinaitwa ''blarb'' katika kitabu. Haya ni maelezo nyuma ya ''cover,'' ya kitabu. ''Blarb,'' inaandikwa na ''publisher,'' si wewe Yericko. Huu ni ushauri wa bure wenzako wanalipia fedha. Mimi nakupa bure ili ujitoe katika ujinga.''

    Ndugu zangu,
    Mtu mwenye hasad kwenye moyo wake hatoi ushauri wa kunufaisha.

    Hayo ndiyo yangu kwa kutaka mwanamajlis mwenzetu afanikiwe katika kitabu chake lakini
    ikiwa yeye anaona mimi sikutoa ushauri wowote kwake ili ''kitabu,'' kiwe
    kitabu na malipo yangu ni kunitukana si kitu.

    Waswahili tuna msemo, "Fanya wema uende zako usingoje shukurani."
 
Pamoja na ukweli wa hoja zako lkn unaonekana ww ni mbinafsi,mchoyo na mwenye wivu wa dhahiri...na unanisononesha zaidi kwa kua umri umeshakwenda,laiti ungelikua kijana ningesema maneno mabaya zaidi.

Mara nyingi unapoteza nguvu nyingi kubishana na kazi za Yericko kwa nukta nukta za ukweli unaoujua.
Ombi langu kwako kusanya kila unachokijua halafu tuandikie kitabu ukisambaze na tukisome kama alivyofanya Yericko kuliko hili povu lako la kila mara.

Mm binafsi nimesoma historia ya mapinduzi ya Zanzibar ktk vitabu vitatu tofauti na vyote vina vitu vinakinzana na kingine..Lkn pia nimesoma historia ya Zanzibar kupitia makala za Joseph Mihangwa ktk gazeti la RAI .Na kwa kutumia akili yangu nimekubaliana na aliyoandika Mihangwa kwa 65% zaidi ya kwenye vitabu nilivyosoma.

Sasa baba ANDIKA ..ANDIKA baba tusome.

HUU UNAFIKI WA KUJUA VITU HALAFU UNAA NAVYO MPAKA UFE NAVYO UTATUSAIDIA NINI SISI WA KIZAZI HIKI.
BILA YERICKO KUANDIKA UNGELIBISHANIA WAPI.
Mihangwa asilomia 85 namuelewa hizo 65 umepunguza
 
Senator,
Yawezekana hujasoma haya niliyoandika kwa hiyo nakuwekea hapo
chini tafadhali angalia tarehe niliyoandika maneno hayo:

  1. #24
    Jul 17, 2017

    Trophy Points: 280
    WanaMajlis,
    Angalieni maneno niliyoandika hapo chini na angalieni tarehe yake.

    Wakudadavua,
    ''Huyu ndugu yangu ana mambo.

    Kitabu hakina publisher, hakina ISBN hakina chochote wala huko
    Amazon hakipo.

    Nimempa darsa zima vipi mambo ya uchapaji wa vitabu ulivyo yeye
    kabakia na jeuri na ubishi ambao haumsaidii lolote ila kuzidi kumtia
    katika kundi la wachekeshaji.

    Angalia hapo chini ''blarb,'' kama ilivyoandikwa na Yericko:
    Angalia ''kitabu,'' cha Yericko hicho anasema
    kipo Amazon na Amazon hawana hicho, ''kitabu.''

    Nilimweleza haya baada ya kutambua hakuwa anajua kitu katika tasnia
    ya ''publishing.''

    Napenda nihitimishe ha hii hapo chini:

    (Good history to start with, lakini Yericko wewe si nasikia huwa unaandika vitabu? Kama ndivyo, mbona una punctuation mbovu kiasi hiki? In addition, for your own benefit, hukutakiwa kuweka link kavu ya Amazon bali link ya hicho kitabu! Na hicho kitabu chenyewe binafsi nimeshindwa kukiona kupitia hiyo Amazon main link!)

    Katika mabano ni watu wengine wanafanya comments.

    Mimi nakaandika hayo maneno hapo chini:
    ''Bado niko na wewe Yericko. Nimekuwekea darsa zima kuhusu uandishi wa vitabu. Meza kibri chako na soma na zingatia. Umesema uko Amazon lakini ukweli ni kuwa hawakujui huko. Mimi nimeingia Amazon toka mwaka wa 1998 kwa hiyo nawajua vyema. Kuna kitu lazima ukijue pia. Amazon hujipeleki. Amazon unapelekwa na ''publishers,'' na ''booksellers'' yaani wauza vitabu. Kuna kitu kinaitwa ''blarb'' katika kitabu. Haya ni maelezo nyuma ya ''cover,'' ya kitabu. ''Blarb,'' inaandikwa na ''publisher,'' si wewe Yericko. Huu ni ushauri wa bure wenzako wanalipia fedha. Mimi nakupa bure ili ujitoe katika ujinga.''

    Ndugu zangu,
    Mtu mwenye hasad kwenye moyo wake hatoi ushauri wa kunufaisha.

    Hayo ndiyo yangu kwa kutaka mwanamajlis mwenzetu afanikiwe katika kitabu chake lakini
    ikiwa yeye anaona mimi sikutoa ushauri wowote kwake ili ''kitabu,'' kiwe
    kitabu na malipo yangu ni kunitukana si kitu.

    Waswahili tuna msemo, "Fanya wema uende zako usingoje shukurani."
Kuna maswali najiuliza sana juu yako-mimi nimekujulia humu JF-but kwa upeo wangu waonekana more then the average joe and harry-how come hii nchi yenye kuitaji manpower,skilled,management etc etc wewe sijawahi kukusikia AU hukua na godfather kukufikisha hizo heights-au umekuwa anti establishment siku nyingi??
 
Mihangwa asilomia 85 namuelewa hizo 65 umepunguza

WanaMajlis,
Inaelekea mmeupenda huu mjadala maana nilitoa wazo tuumalize lakini
michango imeendelea.

Tuifanye hii barza yetu pawe mahali pa kuelimishana.

Nataka nieleze kitu muhimu katika kitabu kuwa kitabu cha rejea kwa
maana wasomaji kukisoma kwa kupata uelewa zaidi wa somo.

Ili kitabu kiingie katika dunia ya rejea katika Library ya Congress na
katika maktaba nyingine duniani muhimu kabisa ni kuwa kitabu kiwe
kwenye lugha ya Kiingereza au lugha kuu nyingine za dunia kama
Kifaransa na Kiarabu.

Ukiwa na kitabu nje ya lugha ya Kiingereza na ukategemea kuwa hicho
kitabu kitasomwa na kuwa rejea, hili haliwezekani na kitabu kitabaki
katika shubaka popote pale kilipo.

Hii ni sawa na kufanya kazi ya bure.
Baba wa Taifa alipatapo kusema kuwa Kiingereza ni Kiswahili cha dunia.

Nikita Khrushchev aliandika kitabu, ''Khrushchev Remembers,'' (1971)
kitabu hiki kilikuwa katika lugha ya Kirusi lakini kilikuwa kitabu hasa
ambacho kilieleza mengi katika historia ya Urusi kabla na baada ya Vita
Kuu zote mbili za dunia.

Katika hali iliyokuwapo Urusi wakati wa Vita Baridi kitabu hiki hakikuweza
kuchapwa Urusi, ilibidi kitolewe nje kwa siri kubwa ili kipate kuchapwa.

Kitabu hiki kilitafsiriwa katika Kiingereza na kilikuwa, ''Best Seller,'' mwaka
wa 1971.

Laiti kitabu hiki kingebaki katika lugha yake ya Kirusi kingebaki ndani ya
shimo la kiza kikuu na hakuna yeyote angekijua na kwa hivyo kukisoma
kiasi hata hapo Library of Congress kingekuwa kinapigwa na vumbi.

Ninayo nakala ya kitabu hiki na kwa kukipenda nimekifanyia ''binding,''
maana nakala yangu ilikuwa ni ''paper back,'' hivyo jalada halikukawia
kuchanika.

lJ2pZt3xiuAbbXo0R3U4A-35Cbau8JI_d61U80pIIK5juZCv4QuT-DMf8adxHHBscktr_uxhThwAdy0nrlP5TyIDo-n_Z1kvuREPf7YSip8zAsJfw8ghTrTRgfx00ujU3aj3I0XoOqeynDXvea9mLrMjRoum_V-1WFDzmQy2hAamTCeulFARil4SieHCUIM6L-DWVEgwB0zn6zrIwRGBwmVN62lE-It6lqAhbRgdQpuco1_mHzuzjuIGEEDtb5hx6GA6Q4KW3-Y3Usr07YQF3S4TC2vUSq_z7j9Ma4-XDI5bRk8Y03hVBkYELj8oXXBSciklii-Fr280hUATui_j8ssL4Rub4uUojvmu_yxD0SLR5S2_vugkmd-dqsmjC_l60qIvIuhwlSQzs9npNo-8i-6dBQmy2IpwCwr3z9ptPE2xneMAORtUM5OeBfSSl4ETPMBEfD_c3wP66sXFT1SlhcAEEzpNQrMOYNJXkmW0LzPdRkV9i4nLh68gEPVmMKUZGlSW7Oq6sNrjuFP5VQuDro1nwk4NlPWZJ-7THYDBZNVREYHSRc9gi1XtT88b61egFnjTnE8g1F3oyhnPlazIFqHZj1Ugdw4HRGlghyRR=w380-h629-no


tuUpmm5GqXVOC02KnYfm61GB93MRINYhqmG6vKT-tqdig2qFIUoL4nco1M5GYQ_Ej8YTb7_mnZ7gAZ-QCw9L5I4fEYbpax2BlN-T-wYwdIAo6utACDimT1etFaO6AmD53IuGAvCeRMFoGvDW1R4VqrfHuGfSGr_mJ5iaKTp_DiNcw0lJiHJlLqPodMBJ6qySzPY8qaNiEd7xTw6N30FhVw9zcX6UrJTS4X4hjpr_W4HVv8Q8RMRS-dCOJLiMcBDMeMNxPfaVWbTHoR7rqFZ0FowiIvj_soUN4k2YG0eQ7H4stQTFETz6cc5LiZcwXlkc0OG2Pv5DoyaR8d1QKiEkNDz2Jl9BTUPxmctetNwra_d1tWb6-7nBwCX0ah8TmPj7yLcMVELHJEr5t9UWxG4w3HG0T6ibWD7TZB2ixC8e2yChXbjGKJK1Z0zTCJ_fLgQHw6rloDNSQCSaGVyet59BUM-KeqbVeLgeq1UMUk6VYh6PMDsLDOw8AlhPXkwLrFReveeTqqvDjEuCD2kkZFUMEzkeUnNfkiI8bfUUZTU64XufE4CNy5qy6smat0oePwHp-vJc8GU0I9cWrz83je0TXj0SMww4NAlE_1dXflRg=w370-h629-no
 
Kuna maswali najiuliza sana juu yako-mimi nimekujulia humu JF-but kwa upeo wangu waonekana more then the average joe and harry-how come hii nchi yenye kuitaji manpower,skilled,management etc etc wewe sijawahi kukusikia AU hukua na godfather kukufikisha hizo heights-au umekuwa anti establishment siku nyingi??

Jackline,
Unanikweza bure ndugu yangu.
Mimi si lolote si chochote kaka.

Hukunisikia kwa kuwa mimi ni mtu wa kawaida mmoja katika kundi kubwa
la watu unaowaona kila siku wakihangaika katika daladala na kwenda mbio
kuendesha maisha yao.

Vipi mimi niwe ''anti establishment,'' ilhali wazee wangu ndiyo waliopigania
uhuru wa nchi hii na mimi nimeandika hadi historia yao?

Rafiki yangu marehemu Kleist Sykes aliulizwa na mwandishi wa Raia Mwema
kwenye mahojiano kama atajitoa CCM.

Kleist akamjibu mwandishi yule kuwa vipi yeye atakihama chama ambacho asili
yake ni TANU chama alichoasisi baba yeke?
Mohamed Said: RAIA TANZANIA: KLEIST ABDULWAHID SYKES AMZUMGUMZIA BABA YAKE KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA
 
Senator,
Yawezekana hujasoma haya niliyoandika kwa hiyo nakuwekea hapo
chini tafadhali angalia tarehe niliyoandika maneno hayo:

  1. #24
    Jul 17, 2017

    Trophy Points: 280
    WanaMajlis,
    Angalieni maneno niliyoandika hapo chini na angalieni tarehe yake.

    Wakudadavua,
    ''Huyu ndugu yangu ana mambo.

    Kitabu hakina publisher, hakina ISBN hakina chochote wala huko
    Amazon hakipo.

    Nimempa darsa zima vipi mambo ya uchapaji wa vitabu ulivyo yeye
    kabakia na jeuri na ubishi ambao haumsaidii lolote ila kuzidi kumtia
    katika kundi la wachekeshaji.

    Angalia hapo chini ''blarb,'' kama ilivyoandikwa na Yericko:
    Angalia ''kitabu,'' cha Yericko hicho anasema
    kipo Amazon na Amazon hawana hicho, ''kitabu.''

    Nilimweleza haya baada ya kutambua hakuwa anajua kitu katika tasnia
    ya ''publishing.''

    Napenda nihitimishe ha hii hapo chini:

    (Good history to start with, lakini Yericko wewe si nasikia huwa unaandika vitabu? Kama ndivyo, mbona una punctuation mbovu kiasi hiki? In addition, for your own benefit, hukutakiwa kuweka link kavu ya Amazon bali link ya hicho kitabu! Na hicho kitabu chenyewe binafsi nimeshindwa kukiona kupitia hiyo Amazon main link!)

    Katika mabano ni watu wengine wanafanya comments.

    Mimi nakaandika hayo maneno hapo chini:
    ''Bado niko na wewe Yericko. Nimekuwekea darsa zima kuhusu uandishi wa vitabu. Meza kibri chako na soma na zingatia. Umesema uko Amazon lakini ukweli ni kuwa hawakujui huko. Mimi nimeingia Amazon toka mwaka wa 1998 kwa hiyo nawajua vyema. Kuna kitu lazima ukijue pia. Amazon hujipeleki. Amazon unapelekwa na ''publishers,'' na ''booksellers'' yaani wauza vitabu. Kuna kitu kinaitwa ''blarb'' katika kitabu. Haya ni maelezo nyuma ya ''cover,'' ya kitabu. ''Blarb,'' inaandikwa na ''publisher,'' si wewe Yericko. Huu ni ushauri wa bure wenzako wanalipia fedha. Mimi nakupa bure ili ujitoe katika ujinga.''

    Ndugu zangu,
    Mtu mwenye hasad kwenye moyo wake hatoi ushauri wa kunufaisha.

    Hayo ndiyo yangu kwa kutaka mwanamajlis mwenzetu afanikiwe katika kitabu chake lakini
    ikiwa yeye anaona mimi sikutoa ushauri wowote kwake ili ''kitabu,'' kiwe
    kitabu na malipo yangu ni kunitukana si kitu.

    Waswahili tuna msemo, "Fanya wema uende zako usingoje shukurani."
Thanks
 
Jackline,
Unanikweza bure ndugu yangu.
Mimi si lolote si chochote kaka.

Hukunisikia kwa kuwa mimi ni mtu wa kawaida mmoja katika kundi kubwa
la watu unaowaona kila siku wakihangaika katika daladala na kwenda mbio
kuendesha maisha yao.

Vipi mimi niwe ''anti establishment,'' ilhali wazee wangu ndiyo waliopigania
uhuru wa nchi hii na mimi nimeandika hadi historia yao?

Rafiki yangu marehemu Kleist Sykes aliulizwa na mwandishi wa Raia Mwema
kwenye mahojiano kama atajitoa CCM.

Kleist akamjibu mwandishi yule kuwa vipi yeye atakihama chama ambacho asili
yake ni TANU chama alichoasisi baba yeke?
Mohamed Said: RAIA TANZANIA: KLEIST ABDULWAHID SYKES AMZUMGUMZIA BABA YAKE KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA
Hili ndio tatizo watumia majibu mepesi(mashikhara) kwa swali kubwa-it defies all belief/logic-kwamba shule umesoma na una added advantage ya u townsfolk kama akina Ditopile-,kitwana kondo etc-leo hii uishie kuwa mtu wa kawaida-it seems there is more to this then you want us believe
 
Hili ndio tatizo watumia majibu mepesi(mashikhara) kwa swali kubwa-it defies all belief/logic-kwamba shule umesoma na una added advantage ya u townsfolk kama akina Ditopile-,kitwana kondo etc-leo hii uishie kuwa mtu wa kawaida-it seems there is more to this then you want us believe
Jack...
We mtu matata sana...
Kiingereza kimenyooka...

In Shaa Allah iko siku Mola atatukutanisha tutakaa kitako tuzungumze
kwa utulivu na tujuane,
 
Jack...
We mtu matata sana...
Kiingereza kimenyooka...

In Shaa Allah iko siku Mola atatukutanisha tutakaa kitako tuzungumze
kwa utulivu na tujuane,
Nimejiuliza sana,huyu mtu anayegeuza history ya nchi nje ndani,aliyetuletea na kutujulisha unsung heroes-na it seems kweli yuko on point-ni mtu wa namna gani??(tatizo mmoja ni mdini) Trust me March hii takutafuta.Amini usiamini your book on Sykes iko on my bookshelf-and God what an eye opener
 
Nimejiuliza sana,huyu mtu anayegeuza history ya nchi nje ndani,aliyetuletea na kutujulisha unsung heroes-na it seems kweli yuko on point-ni mtu wa namna gani??(tatizo mmoja ni mdini) Trust me March hii takutafuta.Amini usiamini your book on Sykes iko on my bookshelf-and God what an eye opener
Jackline,
Nimeyajua yale yote kwa kuwa wazee wangu walikuwa mstari
wa mbele katika siasa za ukombozi wa Tanganyika toka African
Association ilipoundwa.

Nimezaliwa Kipata wakati wa harakati za uhuru zinaanza.

Baadhi ya wapigania uhuru wamenijua nikiwa mtoto nami kwa
bahati nzuri nimehifadhi kumbukumbu zao hadi leo.

Kwa muhtasari hivi ndivyo ilivyokuwa rahisi kwangu kuwapitia
hawa wazee na kuzungumzanao kwani waliniamini hawakuwa
na ule wasiwasi na uoga kuwa labda nimetumwa kuwachimba.
 
Jackline,
Nimeyajua yale yote kwa kuwa wazee wangu walikuwa mstari
wa mbele katika siasa za ukombozi wa Tanganyika toka African
Association ilipoundwa.

Nimezaliwa Kipata na wakati wa harakati za uhuru zinaanza.

Baadhi ya wapigania uhuru wamenijua nikiwa mtoto nani kwa
bahati nzuri nimehifadhi kumbukumbu zao hadi leo.

Kwa muhtasari hivi ndivyo ilivyokuwa rahisi kwangu kuwapitia
hawa wazee na kuzungumzanao kwani waliniamini hawakuwa
na ule wasiwasi na uoga kuwa labda nimetumwa kuwachimba.
Uko 'Down to earth'jambo ambalo watu wengi humu ukuchukulia for granted-but when push comes to shove unashusha nondo zilizoenda shule inabidi majlis e take a step backward na kusema huyu mswahili ana tu undermine humu-but all in all shule uliyotoa humu JF wengi tumefaidika although sio wote tuta admit
 
Uko 'Down to earth'jambo ambalo watu wengi humu ukuchukulia for granted-but when push comes to shove unashusha nondo zilizoenda shule inabidi majlis e take a step backward na kusema huyu mswahili ana tu undermine humu-but all in all shule uliyotoa humu JF wengi tumefaidika although sio wote tuta admit
Jack,
Ahsante sana.
 
Jack,
Ahsante sana.

WanaMajlis,

Inaelekea mmeupenda huu mjadala maana nilitoa wazo tuumalize lakini
michango imeendelea.

Tuifanye hii barza yetu pawe mahali pa kuelimishana.

Nataka nieleze kitu muhimu katika kitabu kuwa kitabu cha rejea kwa
maana wasomaji kukisoma kwa kupata uelewa zaidi wa somo.

Ili kitabu kiingie katika dunia ya rejea katika Library ya Congress na
katika maktaba nyingine duniani muhimu kabisa ni kuwa kitabu kiwe
kwenye lugha ya Kiingereza au lugha kuu nyingine za dunia kama
Kifaransa na Kiarabu.

Ukiwa na kitabu nje ya lugha ya Kiingereza na ukategemea kuwa hicho
kitabu kitasomwa na kuwa rejea, hili haliwezekani na kitabu kitabaki
katika shubaka popote pale kilipo.

Hii ni sawa na kufanya kazi ya bure.
Baba wa Taifa alipatapo kusema kuwa Kiingereza ni Kiswahili cha dunia.

Nikita Khrushchev aliandika kitabu, ''Khrushchev Remembers,'' (1971)
kitabu hiki kilikuwa katika lugha ya Kirusi lakini kilikuwa kitabu hasa
ambacho kilieleza mengi katika historia ya Urusi kabla na baada ya Vita
Kuu zote mbili za dunia.

Katika hali iliyokuwapo Urusi wakati wa Vita Baridi kitabu hiki hakikuweza
kuchapwa Urusi, ilibidi kitolewe nje kwa siri kubwa ili kipate kuchapwa.

Kitabu hiki kilitafsiriwa katika Kiingereza na kilikuwa, ''Best Seller,'' mwaka
wa 1971.

Laiti kitabu hiki kingebaki katika lugha yake ya Kirusi kingebaki ndani ya
shimo la kiza kikuu na hakuna yeyote angekijua na kwa hivyo kukisoma
kiasi hata hapo Library of Congress kingekuwa kinapigwa na vumbi.

Ninayo nakala ya kitabu hiki na kwa kukipenda nimekifanyia ''binding,''
maana nakala yangu ilikuwa ni ''paper back,'' hivyo jalada halikukawia
kuchanika.

178857.jpg
 
Back
Top Bottom