Asiyoyajua Yericko Nyerere katika utafiti wa historia ya Mapinduzi ya Zanzibar

Mi hata sikuelewi,
Ungeweka reference au hata link kwanza ya Yericko Nyerere alisema nini hapo awali ili ukianza kumkosoa tujue unamkosoa kwa kitu gani.

Yaani hapa sielewi kua kuna Kitabu Yericko Nyerere amekitunga maalum kwa ajili ya Mapinduzi ndio unachokikosoa au amezungumzia Mapinduzi kwenye kilekitabu chake maarufu cha UJASUSI WA DOLA NA WA KIUCHUMI?? Jaribu kwanza kufafanua hili ndo tutaelewa uaandika nini.
Achana bar mpuuzi Tu huyo
 
Mohamed Said unajua wewe ni mtu mzima acha utoto wa kijinga,

Mimi nakupa link ya Library of Congress iliyo na kitabu changu wewe unafanya ujinga kwakuleta link yako isiyofunguka?

Wanajamvi nadhani mnaona huyu mzee alivyo mzandiki wa kiwango cha lami....


Link niliyompa hii hapa..... https://catalog.loc.gov/vwebv/searc...Code=GKEY^*&searchType=0&recCount=25&sk=en_US
Yericko,
Ghadhabu huondoa umakini.

Jitulize.
Rejea kusoma hiyo post link hiyo sijaileta mimi.
 
Mwalimu wangu aliyenifunza ilm ya mnakasha yaani majadiliano Sheikh Haruna, Allah amrehemu alikuwa akisema elimu yoyote ina adabu zake.

Alikuwa akitufunza kuwa mpe heshima unayejadiliananae na kiweke kichwa chako wazi kupokea kwani katika kupokea fikra za wengine ndipo ilipojificha ilm.

Maalim Haruna akisema kuwa heshima hukimbiza kibri na ghadhabu.

Nilipata kumuuliza kwa nini katumia neno "adabu," badala ya sheria.

Sheikh Haruna akasema katumia neno "adabu," ili wanafunzi wake tuone umuhimu wa kuwa na adabu.
 
Kwezisho,
Tusameheane taratibu atabadilika na atakuwa mwema kwako na rafikiyo.

Jambo lolote ukilitia upole linapendeza.
 
Kwezisho,
Tusameheane taratibu atabadilika na atakuwa mwema kwako na rafikiyo.

Jambo lolote ukilitia upole linapendeza.
Hakika, mimi ni msomaji wa vitabu na kitabu chake nakisoma na nilijua uwepo wa link aloiweka ingalisaidia kukikweza kitabu naye angekuwa rahimu kwa kutusaidia wateja wake pindi inapotokea tumepata mushkeli au kwaziko
 
Mwalimu wangu aliyenifunza ilm ya mnakasha yaani majadiliano Sheikh Haruna, Allah amrehemu alikuwa akisema elimu yoyote ina adabu zake.

Alikuwa akitufunza kuwa mpe heshima unayejadiliananae na kiweke kichwa chako wazi kupokea kwani katika kupokea fikra za wengine ndipo ilipojificha ilm.

Maalim Haruna akisema kuwa heshima hukimbiza kibri na ghadhabu.

Nilipata kumuuliza kwa nini katumia neno "adabu," badala ya sheria.

Sheikh Haruna akasema katumia neno "adabu," ili wanafunzi wake tuone umuhimu wa kuwa na adabu.
Screenshot_20180120-161142.png
 
Hakika, mimi ni msomaji wa vitabu na kitabu chake nakisoma na nilijua uwepo wa link aloiweka ingalisaidia kukikweza kitabu naye angekuwa rahimu kwa kutusaidia wateja wake pindi inapotokea tumepata mushkeli au kwaziko
Link hiyo una uhakika haifunguki?

Mimi nimeifungua na ninakupa screenshot hii ya ndani

Screenshot_20180120-161142.png
 
Kwezisho,
Tusameheane taratibu atabadilika na atakuwa mwema kwako na rafikiyo.

Jambo lolote ukilitia upole linapendeza.
Tatizo wewe ukibanwa huwa unajificha kwenye kichaka chakuheshimiwa japo wewe huna heshima...

Sisi waandishi wachanga tungekuwa na nafasi nzuri ya kukuenzi lakini una jeuri, kibri na uzabizabina usio kifani, ndio maana mimi nakupuuza na kukudharau kabisa... Huna maana kabisa japo ni mwanahistoria mziri ninayekuheshimu kwa kazi zako.... Nimejifunza mengi kwako, lakini mengi mazuri kwako yanamalizwa na jeuri yako na kibri kwanza....

Hautaheshimiwa na mwandishi yoyote kijana mwelewa labda hiki kikundi chako cha wadinidini wenzio....
 
Tatizo la bwana mdogo yericko nyerere huwa hapendi kukosolewa yeye anajua kila jambo...
Nini unachokosoa au anachokosoa ambacho nawe una muunga?

Mohamed amekiri kitabu hajakisoma, nimemwambia kitabu kinatambuliwa na Library of Congress, yeye anapinga nimempa link anajifanya ati link haifunguki.... Nimempa screenshot toka Library of Congress, bado nawe unaendelea kumuunga mkono? Utakuwa na ugonjwa uitwao Yerickophobia.....
 
WanaMajlis,
Hapo chini ndiko tulikotoka:

8204949e14b874665ed3d545b9d7973d.jpg


Kwa uzoefu wangu katika vitabu nilieleza mengi kipi kifanyike ili mambo
yakae sawa.

Nilishauri kitabu kipewe ISBN na atafutwe publisher.

Ikiwa haya yamefanyika na kitabu kimekaa sawa kipo Library of Congress
hili ni jambo jema sana.

JF tupafanye mahali pa kuelimishana aliye na elimu ya kitu asiwe na choyo
awafahamishe nduguze ili tija ipatikane.

Hapana haja ya kutukanana.
Mohamed Said: TAAZIA: AMAN THANI FAIROOZ 24 NOVEMBA 1929 - 21 FEBRUARI 2016
 
WanaMajlis,
Haya nimeandika Julai 2017:

[quote uid=12431 name="Mohamed Said" post=25406526]Angalia ni tarehe ya hii post:<br /><br />Yericko Nyerere<br />November 25, 2017 via Instagram ·<br />Leo ninafuraha isiyokifani... Ni heshima kwangu na kwa nchi yangu kuona alama ya mswahili inasimama wima mbele ya mataifa...<br /><br />Wasomi na watafiti ulimwenguni sasa watakitumia kitabu cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi kama rejea muhimu,<br />.[/QUOTE]<br /><br />#24<br />Jul 17, 2017<br />Trophy Points: 280<br />WanaMajlis,<br />Angalieni maneno niliyoandika hapo chini na angalieni tarehe yake.<br /><br /><b>Wakudadavua,</b><br />''Huyu ndugu yangu ana mambo.<br /><br />Kitabu hakina publisher, hakina ISBN hakina chochote wala huko<br />Amazon hakipo.<br /><br />Nimempa darsa zima vipi mambo ya uchapaji wa vitabu ulivyo yeye<br />kabakia na jeuri na ubishi ambao haumsaidii lolote ila kuzidi kumtia<br />katika kundi la wachekeshaji.<br /><br />Angalia hapo chini ''blarb,'' kama ilivyoandikwa na<b> Yericko:</b><br />Angalia ''kitabu,'' cha Yericko hicho anasema<br />kipo Amazon na Amazon hawana hicho, ''kitabu.''<br /><br /><br />Nilimweleza haya baada ya kutambua hakuwa anajua kitu katika tasnia<br />ya ''publishing.''<br /><br />Napenda nihitimishe ha hii hapo chini:<br /><br />(Good history to start with, lakini Yericko wewe si nasikia huwa unaandika vitabu? Kama ndivyo, mbona una punctuation mbovu kiasi hiki? In addition, for your own benefit, hukutakiwa kuweka link kavu ya Amazon bali link ya hicho kitabu! Na hicho kitabu chenyewe binafsi nimeshindwa kukiona kupitia hiyo Amazon main link!)<br /><br />Katika mabano ni watu wengine wanafanya comments.<br /><br />Mimi nakaandika hayo maneno hapo chini:<br />''Bado niko na wewe Yericko. Nimekuwekea darsa zima kuhusu uandishi wa vitabu. Meza kibri chako na soma na zingatia. Umesema uko Amazon lakini ukweli ni kuwa hawakujui huko. Mimi nimeingia Amazon toka mwaka wa 1998 kwa hiyo nawajua vyema. Kuna kitu lazima ukijue pia. Amazon hujipeleki. Amazon unapelekwa na ''publishers,'' na ''booksellers'' yaani wauza vitabu. Kuna kitu kinaitwa ''blarb'' katika kitabu. Haya ni maelezo nyuma ya ''cover,'' ya kitabu. ''Blarb,'' inaandikwa na ''publisher,'' si wewe Yericko. Huu ni ushauri wa bure wenzako wanalipia fedha. Mimi nakupa bure ili ujitoe katika ujinga.''<br /><br /><b>Ndugu zangu</b>,<br />Mtu mwenye hasad kwenye moyo wake hatoi ushauri wa kunufaisha.<br /><br />Hayo ndiyo yangu kwa kutaka mwanamajlis mwenzetu afanikiwe katika kitabu chake lakini<br />ikiwa yeye anaona mimi sikutoa ushauri wowote kwake ili ''kitabu,'' kiwe<br />kitabu na malipo yangu ni kunitukana si kitu.<br /><br />Waswahili tuna msemo, "Fanya wema uende zako usingoje shukurani."
 
Mwezi wa Julai 2017 hapakuwa na kitabu Library of Congress ndiyo hiyo hapo juu. Mnaweza kusoma niliyoandika chini yake.
 
Yericko,
Katika hayo yote uliyosema lililo la kweli moja tu kuwa mimi naipenda dini yangu Uislam kiasi nilipoona historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika imeandikwa lakini mchango wa wazalendo Waislam hawamo, nilinyanyua kalamu na kuandika kitabu kizima.

Hili kuwa wewe unanimudu mimi hapa unajitutumua hilo hawajaliweza wenye elimu kupita wewe utaliweza wewe?

Huwezi kupambana na mimi kwa kuandika "kitabu" kimoja ulichochapa mwenyewe bila "publisher."
Mzee wangu inamana kijana kajifungia ndani na printer yake kutoka kaja na kitabu tayari?
Hiii amakweli ujasiriamali umepamba moto sasa ata maadili ya kazi za uandishi yamepotea.
 
Back
Top Bottom