Mjamii
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 1,027
- 312
Achana bar mpuuzi Tu huyoMi hata sikuelewi,
Ungeweka reference au hata link kwanza ya Yericko Nyerere alisema nini hapo awali ili ukianza kumkosoa tujue unamkosoa kwa kitu gani.
Yaani hapa sielewi kua kuna Kitabu Yericko Nyerere amekitunga maalum kwa ajili ya Mapinduzi ndio unachokikosoa au amezungumzia Mapinduzi kwenye kilekitabu chake maarufu cha UJASUSI WA DOLA NA WA KIUCHUMI?? Jaribu kwanza kufafanua hili ndo tutaelewa uaandika nini.