Magufuli alimuibua Nani!? Alimkuta wapi!Jibu kwa hoja usitukaneee
Maana usitoe mapovuuuu
Unapata kujua unachotetea hukijui maana umeanza kuwasema Wazee wetu walio lala
NYERERE baba yetu aliyelala mwenye mchango mkubwa nchi hii.
Sokoine
Magufuli aliyemuibua hata huyo unayemtetea
Na kingine unaonekana bila hata chembe ya uongo wewe ni Muislamu.
Na huna hoja yoyote na Wale viongozi wetu waliopita ndio wametufanya tuwe hapa leo.
Kwa utamaduni wetuu
Marehemu haswemwi hata kidogoo.
Fungal mdomo wakoo
Labda unambie aliwaibua kina Bashite, Bashiru, Polepole, na yule aliyemtoa Jalalani.
Na ww pia bila chembe ya shaka ni Mkristo tena unayeumia Muislam kupata nafasi tena bila ht kujali sifa