mgheni amani
Member
- Jun 21, 2011
- 29
- 3
Wakati mkuu wa kaya ameondoka huku hali ya nchi ikiwa tete baada ya madkari kugoma akiwa anahudhuria kikao huko ulaya waziri mkuu wa uingereza amempongeza kuwa serikali ya Tanzania :embarassed2:imejitahidi kwenye maswala ya elimu mh imenishangaza kidogo hapa mawili kama waingereza hakuna wanachokitaka kwetu basi waziri mkuu wao ni bomu sana au wanamkejeli raisi wetu na kupima uwezo wake ni mwaka jana tu wanafunzi wetu wa kidato cha nne kwenye matokeo yao aslimia themanini kati ya waliofanya mtihani walipata daraja sifuri na la nne! Wenzetu Rwanda matokeo ya mwaka huu yaliotangazwa wiki iliopita shule za vijijini zimefanyavizuri kuliko za mjini hawa ndio watu wa kupongezwa