Asilimia mbili tu ya mizigo ya Uganda ndio inayopitia Dar es Salaam port, huku asilimia 98% ikipitia Mombasa port, asema mkurugenzi mkuu wa TRC

Hivi angesema bandari ya Dar inapitisha 50% ya mizigo ya Uganda ungekimbilia kufunga huu Uzi?

Ni muhimu kutumia akili wakati unasoma na kusililiza habari, sio kila unachosikia unakubali. Wewe unajua wazi kwamba 20% ya mizigo ya Uganda ndiyo inayopitia Dar, na Sasa hivi hiyo namba inazidi kuongezeka kutokana na uwekezaji mkubwa unaofanyika katika "Central corridor", na Kitendo cha WFP kuachana na bandari ya Mombasa kusafirisha mizigo kwenda Uganda, South Sudan na DRC, Sasa iweje tena hiyo 20% ishuke hadi 2%?.

Ni wazi kwamba Kadogosa amezungumzia 2% ya mizigo ya Uganda ndiyo inayosafirishwa kwa Reli, sio bandari, kumbuka yeye ni mkurugenzi wa reli sio bandari, hawezi kuzungumzia Mambo ya bandari.

Hawa hapa Waganda wenyewe wanathibitisha kwamba mzigo unaopitia Dar port ni 20%
Wewe jamaa huwa mbishi kila wakati. Haya umepinga kauli ya mkurugenzi wa TRC kwamba 2% ya mizigo ya UG ndio inayopitia Dar port. Sasa utapinga pia waziri wenu wa uchukuzi ambaye pia yeye ameconfirm kwamba 2% ya mizigo ya UG ndio inayopitia Dar port? Msikilize waziri wenu joto na upunguze ubishi. Waziri wenu wa uchukuzi na mkurugenzi wa TRC wote hawawezi kuwa wrong na wewe uwe right.
Cc joto la jiwe
Geza Ulole

 
Wewe jamaa huwa mbishi kila wakati. Haya umepinga kauli ya mkurugenzi wa TRC kwamba 2% ya mizigo ya UG ndio inayopitia Dar port. Sasa utapinga pia waziri wenu wa uchukuzi ambaye pia yeye ameconfirm kwamba 2% ya mizigo ya UG ndio inayopitia Dar port? Msikilize waziri wenu joto na upunguze ubishi. Waziri wenu wa uchukuzi na mkurugenzi wa TRC wote hawawezi kuwa wrong na wewe uwe right.
Cc joto la jiwe
Geza Ulole


2% ya mzigo wa in transit Tanzania, yaani katika nchi zote zinazohudumiwa na bandari za Tanzania, Uganda inahudumiwa kwa 2%, hiyo inaweza kuwa hata 20% ya mzigo wa Uganda unaotoka ndarini
 
Back
Top Bottom