Imekuwa ni kawaida mtu wako wa karibu anakuja anakulilia shida umkopeshe hela. Ukishamkopesha harudishi na mawasiliano anakata bila kujali hela uliyomkopesha nawe una matumizi nayo. Acheni hii tabia siyo nzuri. Kama wewe umeshakumbana na adha hii tupe uzoefu wako.