silasc
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 3,348
- 1,982
Poa poa mkuu SodokuSilasc sikupenda niweke maneno yangu kabisa. Nmeongea nao na nimetumia majibu yao na maneno yao si yangu. Kwa hiyo sikatai hoja yako na wapo watakao kuja kukubaliana nawe.
Ila mimi nimeandika ambacho nmekipata toka kwao sijaongeza sijapunguza na hisia zangu nmeziweka pemben kabisa.