Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,095
- 2,428
Asilimilia kubwa ya wanawake hawafahamu au hupata raha ya tendo la ndoa mara chache sana katika kila mara wanazofanya. Na wengi wanasema hii hutokana na mambo kadhaa likiwepo la;
1. Kutoandaliwa vizuri kimwili na kisaikolojia.
2. Kutokuwa na hisia na mtu anayefanya naye.
3. Ubabe wa wanaume hasa wanaodhani kufanya muda mrefu sana au kuwa na uume mkubwa sana inatosheleza.
4. Wanaume kuwa wabinafsi kumaliza mapema au kutokuwa na mahaba wakati wa tendo lenyewe.
Wengi wamekuwa wakifanya kuwaridhisha wanaume na wanahisi kuwa tendo hili ni maalum kwa ajili ya kuwapa raha wanaume. Na ndo maana wao wanaishia kupenda starehe nyinginezo na mitoko huku waki offer tendo hilo in exchange.
Wanaume wengi kwa sasa wamekuwa wakihangaika na kuongeza maumbile na dawa za kurefusha muda. Wastani wa mwanamke aliyeandaliwa vizuri kufikia mshindo ni dk 2- 10 wanasema zinapozidi sana huwa wanafanya kumridhisha tu mwanaume na kutoa sauti za kimahaba fake.
Wanasema asilimia kubwa ya wanaume wameathirika na mapenzi ya porno videos. Hivyo wamepoteza mahaba wamejikita kwenye muda zaidi na maumbile makubwa sana kuliko tendo lenyewe kuwa la kimahaba na kushibana.
Wito wangu: Tuzidi kushirikiana wanaume katika kupeana taarifa za kusaidiana katika mambo haya ya mahusiano na kujenga uchumi. Tuwapende wanawake na pia kuwachukulia kama ni kitu cha thamani na delicate sana. Tuache kuwabaka.
1. Kutoandaliwa vizuri kimwili na kisaikolojia.
2. Kutokuwa na hisia na mtu anayefanya naye.
3. Ubabe wa wanaume hasa wanaodhani kufanya muda mrefu sana au kuwa na uume mkubwa sana inatosheleza.
4. Wanaume kuwa wabinafsi kumaliza mapema au kutokuwa na mahaba wakati wa tendo lenyewe.
Wengi wamekuwa wakifanya kuwaridhisha wanaume na wanahisi kuwa tendo hili ni maalum kwa ajili ya kuwapa raha wanaume. Na ndo maana wao wanaishia kupenda starehe nyinginezo na mitoko huku waki offer tendo hilo in exchange.
Wanaume wengi kwa sasa wamekuwa wakihangaika na kuongeza maumbile na dawa za kurefusha muda. Wastani wa mwanamke aliyeandaliwa vizuri kufikia mshindo ni dk 2- 10 wanasema zinapozidi sana huwa wanafanya kumridhisha tu mwanaume na kutoa sauti za kimahaba fake.
Wanasema asilimia kubwa ya wanaume wameathirika na mapenzi ya porno videos. Hivyo wamepoteza mahaba wamejikita kwenye muda zaidi na maumbile makubwa sana kuliko tendo lenyewe kuwa la kimahaba na kushibana.
Wito wangu: Tuzidi kushirikiana wanaume katika kupeana taarifa za kusaidiana katika mambo haya ya mahusiano na kujenga uchumi. Tuwapende wanawake na pia kuwachukulia kama ni kitu cha thamani na delicate sana. Tuache kuwabaka.