Asilimia kubwa ya wanawake walio katika ndoa hawakuwapenda waume zao

Nyenyere

JF-Expert Member
Sep 9, 2010
14,769
10,645
Hii ni mada chokozi. Ni ukweli ambao ni mgumu mno kuupinga kwamba wanawake wengi walio kwenye ndoa hawakuwingia kwenye ndoa kwa sababu ya kuwapenda waume zao. Why?

Mwanamume ni lazima ataanza kwa kumpenda mwanamke. Atamtongoza bila kujali status yake, anafanya kazi gani, kipato chake, elimu yake, kwao wanaishije. Na akikolea atakwenda mpaka ndoa! Ndio maana ni kawaida tu kusikia mwanamume kafunga ndoa na binti aliyekuwa mfanyakazi wa ndani wa familia fulani.

Wanawake? Ukitangaza nia tu, atataka kujua unaishi wapi, unafanya kazi gani, wazazi wako wanaishije, n.k. Utagundua kwamba wanawake wengi huolewa na kazi za waume zao, vipato vyao. Kama bado unabisha angalia matangazo yaliyomo humu jf, wanawake wanaotafuta waume, vigezo wanavyoweka. Awe na digrii, awe na kazi ya kipato kizuri, awe amejenga, n.k. I rest my case.

modern-marriage-jpg.582035
 

Attachments

  • Modern-marriage.jpg
    Modern-marriage.jpg
    79 KB · Views: 237
Tatizo lenu mnachagua sana jamani ... Unakuta mtu anataka msambwanda, guu la bia, mara mweupe, mwenye sura kama malaika akivaa anavunja kabati kama milion hivi sasa unategemea mwanamke kama huyo utaishije nae kama sio kufujaa hela?
Nina ushahidi wa mkaka mmoja anatia huruma sana yaaani ni anaendeshwa na mkewe hadi ... Na dini kabadilishwa kisa mkewe ni asali kitandani hahha nacheka kama mazuri ....mke alidhani atakua na maisha kama malkia kisa mwanaume ana gari aliyoyakuta ni noma mwanamke anajuta kuolewa na mwanaume na mwanaume anajuta kumuoa mke ..... Mke anasema yaani ikatokea tukazaliwa sayari ingine hata kwa bahati mbaya siwezi olewa na huyu mwanaume wala mwanaume yeyote ...
Wanaume angalieni kichwani sio chini ninyi ... Mtalalamika hadi yesu anarudi shauri zenu
 
kuna ukweli kene hili , ma ex wangu wote wawili kwa nyakati tofauti walioolewa wamerudi wanaomba tu hook up japo hawasemi directly, na me nimekua tu mstaarabu,sikutaka kurudi nyuma lakini nikajiuliza nini tatizo apa. asee ni kweli, watu wanaoa au kuolewa for the wrong reasons. Tuwe tunadhirika tu nadhani hakuna namna, maisha hayarudi nyuma yanaenda mbele, huwezi ku recreate the past hata iweje.
 
Back
Top Bottom