Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,269
- 50,076
Tena kichaka na heri unefichwa kwa nyama na mifupa ya mbavu vinginevyo kuna watu wangeuana vibayaMie ninavyo visa rundooo. Yaani hii mioyo ni kichaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena kichaka na heri unefichwa kwa nyama na mifupa ya mbavu vinginevyo kuna watu wangeuana vibayaMie ninavyo visa rundooo. Yaani hii mioyo ni kichaka.
Moyo fichio la siri, ndoa zinamambo mengi sana , vilevile hii mada inaukweli asilimia kubwa mno.
Usicheke espy ni vile tuu hatuwezi kuweka mambo hadharani lakini hii mada imenigusa sana. Mambo mengine ni kuyaacha tuu kama yalivyo
Mkuu uko sawa. Tatizo kabla ya mafanikio utapata wa class ya chini pia. Huwezi pata kitu roho inapenda. Pia mwanamume kutumia pesa Ni sababu ya kumtaka wa class hiyo. Hivi umewahi kuwaza uhamisho wa ndani anaofanya Wema toka mwanamume mmoja hadi mwingine? Au mtazame Lulu kwa Mfano. Wewe unayeishi kwenye kichumba cha kupanga Mbande, biashara yako mkaa, utawapata lini hawa ili muanzie chini wote? Wenzio wanataka walio na mkwanja tayari, wao ni kuspend tu. Ndio hali halisi.Mi naona kama inakuwa afadhali ukimpata mwanamke kabla ya kuwa na mafanikio makubwa. Lakini pia nasi wanaume tunapenda kutumia ukwasi wetu kama fimbo hapo, tusitegemee mapenzi ya kweli.
Kikitibuka humu utaweza mtiti wake!?
Mkuu, tatizo sio kuvumilia, tatizo unamvumilia mtu wa aina gani! Haya ndio madhara ya haki sawa mpaka kwenye ndoa. Sasa hivi wanaume wanaanza kuamini kuwa Ni bora kutokuoa kwani ukikosea step, ndoa ni gunia la misumari. Haya Ni maneno ya mmoja wapo wa mapioneer wa feminism:Tunaishi kwenye kipindi kigumu sana watu wanataka perfection ya hali ya juu sana. Tunasahau kuwa kila binadamu anamapungufu yake. Vijana tunatakiwa kujifunza kuvumiliana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sa kama keshakuwa singomaza kumpata atampata ila atachelewa sana maana lijamaa lishamuharibia CV yaani uwe singomaza + uliwahi kuolewa kupata ndoa nyingine si jambo jepesi ...
Ni Kweli usemayo mkuu, wanawake tumeishiwa staha kabisa siku hizi, kubwa ni kuvumiliana tuSiku hizi hamna jambo baya kumzoea mke wa mtu halafu wangine sio kama mumewe anauchumi magumashi kisa utani unaleta juisi na masihara kidogo eti anajua unampenda kweli . Nadhani pepo la ngono linatutawala sana tubadirike. Pia social network hata wake za watu wapo cheap sana mara nyingi wale walio busy kuweka mapicha na kupata malike ya mengi unaweza kukuta zaidi ya wanaume kumi wanacheat nae hatari sana dunia inaenda kasi mno
Naunga mkono hoja 100%. Tatizo moja tu, hiyo nguo iliyokuvutia ukainunua, Eti ikifika kwenye kabati, ghafla inataka kuanza kutoa amri. Umewahi ona wapi? Kama mwanamume ndiye anayeoa ili ajenge familia, usawa kwenye ndoa unatoka wapi?Ni kweli kulingana na mfumo wa maisha. wanawake hawajapewa hasa nafasi ya kuchagua tangu kale na hata wangekuwa nayo wengine wangeishia kutoolewa.
Wanawake ni kama nguo haichagui mnunuzi bali humvutia tu. Wanawake waliagizwa kutii waume na waumewaliagizwa wawapende. wakitimiza hilo maisha yataenda sawa
kama ilivyo nguo, mwanamke utamvutia huyu lakini yule hapana. kwa hiyo nafasi muhimu kwa mwanamke ni kutafuta mvuto mengine huja tu automatically!
Mkuu class huwa linabadilika, trust me hata hawa unaowaona wako super wengi wametoka chini. Hao wanaotaka mkwanja kwanza ndio hao ambao mada imewagusa 100%.Mkuu uko sawa. Tatizo kabla ya mafanikio utapata wa class ya chini pia. Huwezi pata kitu roho inapenda. Pia mwanamume kutumia pesa Ni sababu ya kumtaka wa class hiyo. Hivi umewahi kuwaza uhamisho wa ndani anaofanya Wema toka mwanamume mmoja hadi mwingine? Au mtazame Lulu kwa Mfano. Wewe unayeishi kwenye kichumba cha kupanga Mbande, biashara yako mkaa, utawapata lini hawa ili muanzie chini wote? Wenzio wanataka walio na mkwanja tayari, wao ni kuspend tu. Ndio hali halisi.
Kwa hii mbinu huwa wanaliwa kirahisi sana.kisa utani unaleta juisi na masihara kidogo eti anajua unampenda kweli
Ni kweli kabisa mama, hii mada ina ukweli mkubwa. Mioyo ya watu inaficha mengi sana.Usicheke espy ni vile tuu hatuwezi kuweka mambo hadharani lakini hii mada imenigusa sana. Mambo mengine ni kuyaacha tuu kama yalivyo
Kabisa mydear, kikubwa uvumilivu tuu maisha yaendeleeNi kweli kabisa mama, hii mada ina ukweli mkubwa. Mioyo ya watu inaficha mengi sana.
Uvumilivu na kuzuia matamanio ya kibinaadamu tu japo ni ngumu lkn Mungu atupiganie tuKabisa mydear, kikubwa uvumilivu tuu maisha yaendelee
kapeace nikuletee maji ya dasani?Hii ni Kweli anaebisha na abishe, Sina muda wa kutype lkn ningewapa kisa cha ukweli kbs kuhusu Hii mada lkn mjue Hii ni kweli, inategemea tu na akili ya mke mwenyewe, uvumilivu na jinsi ya kudhibiti tamaa zake,
Sent using Jamii Forums mobile app