MAJIYAPWANI
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 966
- 1,225
BHAX NITAWEKA YAKO MKUU AU SIO...Wabongo bana yani mambo ya current wotld news affair hamchelewi mko sana updated. Msela tayari ushaweka avatar picha ya khashoggi
BHAX NITAWEKA YAKO MKUU AU SIO...Wabongo bana yani mambo ya current wotld news affair hamchelewi mko sana updated. Msela tayari ushaweka avatar picha ya khashoggi
Kuna tatizo kwani?Kama yeye hapendi kuliweka wazi suala la kilimo we kiherehere cha nini kuongelea mambo ya mwanaume mwenzako tena ambayo yeye binafsi kaona yabaki kuwa siri? Nauliza tu mkuu
Dadavuamshirika wa mmiliki.
Ndio, kwanini utoe siri za watu hadharani?Kuna tatizo kwani?
Kuna tatizo kwani kwa kutoa siri za watu hadharani?Ndio, kwanini utoe siri za watu hadharani?
Ni UMBEAKuna tatizo kwani kwa kutoa siri za watu hadharani?
Kwani umbea ni tatizo?Ni UMBEA
NdioKwani umbea ni tatizo?
Umefuata nini huku celebrities forum?Ndio
Mimi ni celebrity ivyo ni jukwaa languUmefuata nini huku celebrities forum?
Labda kilimo cha OPIUM.Hili jambo ninajua wengi hamlifahamu lakini ukweli ni kwamba Diamond hategemei muziki ili kukuza utajiri wake, asilimia kubwa ya utajiri wake unatokana na kilimo.
Diamond ana mashamba makubwa makubwa sana na analima alizeti,karanga na mchele ingawa yeye binafsi hapendi kuliweka wazi suala hili.
Kwa hiyo wale ambao wanadhani diamond atafulia kipesa wanajisumbua tu ukimzibia huku jamaa anatoboa huku.
Mbali na suala hilo, Diamond pia ni mkali sana kwenye suala la kazi, yaani ukitaka kumjua Diamond ni katili namna gani wewe haribu kazi aliyokutuma baasi.
Ngoja amuulize dada wa marekani kisha atakujibuSasa kiongozi huoni kama haumtendei haki mtoto wa watu?maana huna uhakika pia hujui nani mmiliki wake?
Huku Morogoro tunalima mpunga, yeye MCHELE analimia wapi?Hili jambo ninajua wengi hamlifahamu lakini ukweli ni kwamba Diamond hategemei muziki ili kukuza utajiri wake, asilimia kubwa ya utajiri wake unatokana na kilimo.
Diamond ana mashamba makubwa makubwa sana na analima alizeti,karanga na mchele ingawa yeye binafsi hapendi kuliweka wazi suala hili.
Kwa hiyo wale ambao wanadhani diamond atafulia kipesa wanajisumbua tu ukimzibia huku jamaa anatoboa huku.
Mbali na suala hilo, Diamond pia ni mkali sana kwenye suala la kazi, yaani ukitaka kumjua Diamond ni katili namna gani wewe haribu kazi aliyokutuma baasi.
Asilimia 45 za mondi,hata mange hakuaminiNAONA UZI UMEISHA WAKUANDUKA HUKU KILIMO DIAMOND HUKU YOUNG DEE AYA BHANA MWISHO DIAMOND UTADEMA ANAMILIKI WASAFI tv kumbe wasafi tv ya joseph kusaga ye ana share tu