imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,054
- 69,854
Kama wewe unasafiri na gari kupitia mapori mazito ukichoka na ukitaka kulala chini ya gari lako mwaga Diesel kuzunguka sehemu unayolala hakuna nyoka anyependa harufu ya Diesel
Hata kama kuna shimo mwagia dizeli tu utwaona wakitoka kama wamekuja kulazimishwa waende kujiandikisha kupiga kura.
Hata kama kuna shimo mwagia dizeli tu utwaona wakitoka kama wamekuja kulazimishwa waende kujiandikisha kupiga kura.