demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Asilimia kubwa ya mashabiki wa Simba SC hawajafurahi sana ujio wake kwa namna wakivyo furahi ujio wa Junior Lokosa, Mugalu na Perfect Chikwende?
Je, hii inasababishwa na mashabiki walio wengi kufahamu kuwa huyu Jamaa ametokea ligi dhaifu ambayo hata Mugali alikuwa Top Scorer?
Wengi wanaona kuwa huyu jamaa amekuja kuwa kama trial player kuona kama ata click au la.
Ni kweli aliweza kufanya vyema dhidi ya Yanga SC ile iliyocheza katika “WIKI YA WANANCHI”
Yanga SC ambayo ilipoteza mechi ya mzunguko wa awali dhidi ya Rivers UNITED ya Nigeria. (Bingwa wa msimu huu wa NPFL)
Yanga SC ambayo haikuwa na Aucho, Diarra, Bangala, wala Mayele.
Unadhani ni kipi unafikiri kikawa ni sababu ya hawa jamaa kutokumkubali MOSES PHIRI mchezajj wao mpya.
Je, hii inasababishwa na mashabiki walio wengi kufahamu kuwa huyu Jamaa ametokea ligi dhaifu ambayo hata Mugali alikuwa Top Scorer?
Wengi wanaona kuwa huyu jamaa amekuja kuwa kama trial player kuona kama ata click au la.
Ni kweli aliweza kufanya vyema dhidi ya Yanga SC ile iliyocheza katika “WIKI YA WANANCHI”
Yanga SC ambayo ilipoteza mechi ya mzunguko wa awali dhidi ya Rivers UNITED ya Nigeria. (Bingwa wa msimu huu wa NPFL)
Yanga SC ambayo haikuwa na Aucho, Diarra, Bangala, wala Mayele.
Unadhani ni kipi unafikiri kikawa ni sababu ya hawa jamaa kutokumkubali MOSES PHIRI mchezajj wao mpya.