Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Huu ndo ukweli wanawake walio wengi wanaingia katika mahusiano au ndoa kutafuta angalau unafuu wa maisha.
Katika mahusiano na ndoa wanawake wengi hutumia kama opportunity chance ya kupunguza shida zao ndogo ndogo kupitia mwanaume kwa sababu wanachoamini mwanaume kazi yake ni kumuhudumia chochote kile anachokitaka na inapotokea mwanaume umeshidwa kutimiza matakwa yake pale ndipo mwanamke anapoanza kuchange sasa unapoona hii dalili mapema.
Hua tunashauli mapema piga chini huyo mwanamke kabla ya kuingia nae katika ndoa na usije ukajifanya una Fight umpe anachokitaka mwanamke ili afurahi hapo utakuwa ndio unajichimbia kaburi na mwanamke ndio utazidi kumpa kiburi akutumie vile anavyotaka na mwishoe mahusiano uliyonayo yanaanza kukutesa.
Katika mahusiano na ndoa wanawake wengi hutumia kama opportunity chance ya kupunguza shida zao ndogo ndogo kupitia mwanaume kwa sababu wanachoamini mwanaume kazi yake ni kumuhudumia chochote kile anachokitaka na inapotokea mwanaume umeshidwa kutimiza matakwa yake pale ndipo mwanamke anapoanza kuchange sasa unapoona hii dalili mapema.
Hua tunashauli mapema piga chini huyo mwanamke kabla ya kuingia nae katika ndoa na usije ukajifanya una Fight umpe anachokitaka mwanamke ili afurahi hapo utakuwa ndio unajichimbia kaburi na mwanamke ndio utazidi kumpa kiburi akutumie vile anavyotaka na mwishoe mahusiano uliyonayo yanaanza kukutesa.