Asilimia 99 ya wanaomshambulia Paula wamejaa unafiki, chuki na wivu

Ok, we unaongea kama mzazi, naheshimu maoni yako, ila ukweli haupingiki,
Nmelelewa katika maadili safi kabisa ya kikristo "nawasifu wazazi wangu katika hili" ila ukweli unabaki palepale, sitetei uzinzi ila kubali kataa vijana wenu tunafanya sana uzinzi especialy katika Age hiyo.
Fuatilia takwimu za maambukizi ya VVU uatajua nnaongea nn, hata mwanao unaemlea katika maadili mema jua tu anajificha machoni pako ila anayofanya huko nje na uwepo wako ndo haya unayoyaona kwa kajala.
All in all kajala kafika umli sahihi wa kuolewa sizan kama we mzazi mwenye akili timamu unaweza mzuia mwanao kuwa katika mahusiano ktk umli huo vinginevyo atafanya kwa sili na kukuletea ujukuu nyumbani kwako
Kama kweli umelelewa Katika maadili safi ya kikristo usingeweza kusifia uzinzi anaofanya huyo binti.
Ungekuwa unafahamu kweli takwimu za maambukizi ya HIV kwa vijana wadogo usingefurahia uzinzi wa huyo binti.
Sio kweli kwamba eti vijana wadogo wengi wanafanya uzinzi kwa kificho ni nyie tu mnaounga mkono upuudhi huo wa Paula. Acha kugeneralize.
Halafu huyo Paula hajafikia umri sahihi wa kuolewa ,miaka 19 ni midogo Sana kumwezesha kuwa mama kwa mujibu wa maelekezo ya kitabibu .
Hivi kweli kabisa unakaa unatumia bando lako kuunga mkono mambo ya kishenzi yanayofanywa na huyo binti na mama yake?
Yaani unapingana kabisa na watu wanaokosa mwenendo wake mbaya kwenye jamii eti wanamuonea wivu.
Kweli wazazi tumuombe Sana Mungu aangalie upya hiki kizazi .
Tunapoelekea tutakuwa na watoto wengi sana wanalelewa na mzazi mmoja tena wengi wakiwa wanawake tena wengine wakiwa hawamjui hata baba wa huyo mtoto.
Inasikitisha Sana.
Na wewe kijana nakushauri nenda katubu hii dhambi uliyofanya ya kuunga mkono uzinzi , fahamu kwamba ukiwazacho ndio ukitendacho
 
We kiroboto nini , Kwa hyo kusoma seminar ndo unakuja kuvimba humu , et kuajiri watu hamsini ndo kigezo cha kupuuza maisha ya watu , we pimbi kweli..!!! Huna lolote nenda kawatishe washamba wezanko
Wewe ni chawa na mpuudhi mnabaki kushangilia mambo ya kipuudhipuudhi tu.
Kwa taarifa utaendelea kusifia hao wapuudhi wenzako milele mpuudhi mkubwa wewe na mshenzi usiyefaa kuishi kwenye jamii ya kistaarabu.
Watu wanapotosha jamii hadharani wewe unawasifia mpuudhi mkubwa wewe
Na utaendelea kuwa chawa milele
 
Magazeti kama haya uwa hayaandikwi na wenye maisha ya kueleweka. Hizi ni stress za maisha.
Sasa huo ndio ukweli nawaambia embu jirekebisheni acheni kupotosha jamii.
Way washenzi Kama nyie lazima muambiwe ukweli ikibidi hata kutungiwa kitabu kabisa mkiachwa mtapotosha watoto wetu tunaowalea kwenye maadili mazuri.
Wewe ndio unaonekana unastress za msoto wa maisha hadi eti unamshangilia huyo mtoto mwenzako na mama yake eti unawaona wameshatoka kimaisha.
Kwa taarifa yako huyo kajala na mtoto wake wote ni Malaya wadangaji .
Endelea kuota kuishi maisha wanaoishi wao
 
Sasa huo ndio ukweli nawaambia embu jirekebisheni acheni kupotosha jamii.
Way washenzi Kama nyie lazima muambiwe ukweli ikibidi hata kutungiwa kitabu kabisa mkiachwa mtapotosha watoto wetu tunaowalea kwenye maadili mazuri.
Wewe ndio unaonekana unastress za msoto wa maisha hadi eti unamshangilia huyo mtoto mwenzako na mama yake eti unawaona wameshatoka kimaisha.
Kwa taarifa yako huyo kajala na mtoto wake wote ni Malaya wadangaji .
Endelea kuota kuishi maisha wanaoishi wao
Mshenzi ni mamako mzazi.
 
Cheki huyu zuzu 😂😂😂

Wapi uliona picha ya uchi ya Paula na Kajala?

Ulikuwepo wakati wanashea hiyo dudu?
Alafu unaweza kuta na wewe unaitwa mwanaume 😂😂😂
Mmakonde alikuwa anawala wote wawili japo si kwa wakati mmoja na Kajala haoni haibu kumwachia madanga yake mwanaye, sasa unabisha nini?
 
Watanzania adui yetu mkubwa kwa sasa ameongezeka.

Wakati wa Nyerere ilikuwa umaskini,magonjwa na ujinga.

Kwa sasa adui yetu mkubwa ni

1. Wivu
2. Chuki
3. Unafki

Ukikaa chini ukatafakari kinachowafanya watu wapige kelele za Paula na maisha yake ni hao maadui wapya watatu.

Maana hakuna kipya cha ajabu anachokifanya Paula mpaka mapovu yawatoke namna hii.
Watu ni wanafki, wanamuonea wivu Paula na Ray imesababisha wakajaa chuki.



View attachment 1861861
picha ya ambayo Paula alitupia kwenye ukurasa wake wa instgram
Ungekuwa ni mwanao anakojolewa ndani.
Ktk umri huo wa 19 ungekubali?

Watu wanapiga kelele sababu ya kuonyesha hadharani mambo yao ya falagha

Paula hakuwa na bikra na wala huyo ray van sio boy friend wake wa kwnz,,
Mbona hao waliyoitoa hawajawahi kutupia mitandaoni.

Kwa mzazi yeyote anayejielewa ,,
narudia tena kwa mzazi yeyote anaejielewa ,,
Hawezi kusaport upuuzi huo.

Ni mkwl rayvan anamkojolea Paula,,kuna haja gani kurusha mitandaoni?
Ajabu ni nn kama sio ushamba na ulimbukeni wa rayvan?

Especially binti wa kwenda chuo anahangaika na mapenzi badala ya kwenda chuo.
 
Wewe ni chawa na mpuudhi mnabaki kushangilia mambo ya kipuudhipuudhi tu.
Kwa taarifa utaendelea kusifia hao wapuudhi wenzako milele mpuudhi mkubwa wewe na mshenzi usiyefaa kuishi kwenye jamii ya kistaarabu.
Watu wanapotosha jamii hadharani wewe unawasifia mpuudhi mkubwa wewe
Na utaendelea kuwa chawa milele
Mpuudhi?
Hivi umeishia darasa la ngapi?
 
Mmakonde alikuwa anawala wote wawili japo si kwa wakati mmoja na Kajala haoni haibu kumwachia madanga yake mwanaye, sasa unabisha nini?
Najua ungetamani iwe hivyo...na hauna sababu yoyote bali ni wivu na chuki....
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Ungekuwa ni mwanao anakojolewa ndani.
Ktk umri huo wa 19 ungekubali?

Watu wanapiga kelele sababu ya kuonyesha hadharani mambo yao ya falagha

Paula hakuwa na bikra na wala huyo ray van sio boy friend wake wa kwnz,,
Mbona hao waliyoitoa hawajawahi kutupia mitandaoni.

Kwa mzazi yeyote anayejielewa ,,
narudia tena kwa mzazi yeyote anaejielewa ,,
Hawezi kusaport upuuzi huo.

Ni mkwl rayvan anamkojolea Paula,,kuna haja gani kurusha mitandaoni?
Ajabu ni nn kama sio ushamba na ulimbukeni wa rayvan?

Especially binti wa kwenda chuo anahangaika na mapenzi badala ya kwenda chuo.
Kwani wakipost mtandaoni wengine kinachowaumiza ni nini?
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Acha tuu. Nimetafutaaaa haswa sababu yakumuonea uwivu nimekosa kabisa
Eti kuionea wivu papuchi,wakati hata wake zetu wanazo tena tumezikuta bado zipo tightly na sio ya uyo kitoto nadhani sasa inaweza ikawa usawa wa vidole 5
 
Mnhhhh this is sad,nikikumbuka story yangu mwenyewe na relate na wasichana wanaoingia kwenye mapenzi kwenye umri mdogo nahuzunika zaidi, kwa kifupi ukiwa msichana uko kwenye vulnerable position, akili na mwili havijawa matured enough ku handle relationship na uki break up jinsi Utakavyo suffer emotionally ni mbaya na inaweza ku last life time, Angalia wote walioanza mapenzi umri mdogo kama hata wana long relationship??? hawawezi kukaa kwenye committed relationship sababu wamekua damaged emotionally , they are left confused, ningekua Kajala ningemprotect mwanangu sio kumuachia ulimwengu uumfunze,its a cruel world
 
Watanzania adui yetu mkubwa kwa sasa ameongezeka.

Wakati wa Nyerere ilikuwa umaskini,magonjwa na ujinga.

Kwa sasa adui yetu mkubwa ni

1. Wivu
2. Chuki
3. Unafki

Ukikaa chini ukatafakari kinachowafanya watu wapige kelele za Paula na maisha yake ni hao maadui wapya watatu.

Maana hakuna kipya cha ajabu anachokifanya Paula mpaka mapovu yawatoke namna hii.
Watu ni wanafki, wanamuonea wivu Paula na Ray imesababisha wakajaa chuki.



View attachment 1861861
picha ya ambayo Paula alitupia kwenye ukurasa wake wa instgram
Exactly
 
Nani asiyefanya uzinzi mpaka awanyooshee vidole? Unafki.
Sio kila mtu umuonyeshe hadharani.

Rayvan anachomfanya Paula chumbani hakuna asiyejuwa .
Sasa kuna haja gani ya kuutangazia umma?
Kama sio kuwafundisha uhuni watoto wetu?..

Aache ushamba.
 
Na jinsi chui anavyopenda kusifia misambwanda kwenye nyimbo zake, lazima atakuwa ameshayapiga pasi marinda ya paula.
 
Mapenzi ,utajiri ,uzuri sio vitu vipya duniani.

Mapenzi yalikuwepo toka enzi na enzi , 1912 kwenye Titanic kulikuepo na wapendanao Jack na Rose ,kulikuwepo kina George and weezy , Romeo and Juliet ,Bonnie and clyde ,,,Kwahiyo huyo Rauvan na Paula hakuna kipya kwao ,tuwaache wafanye yao.

Matajiri walikuwepo toka enzi kabla hata yesu ajazaliwa ,miaka ya 1500 kulikuwa na matajiri ,1912 walikuwepo matajiri kina Williams Benjamins ,Kina Rockafella etc kwahiyo kwasasa akijitokeza mtu anajifanya ana hela muache tu najua ni ushamba na ulimbukeni.

Uzuri ulikuwepo toka enzi na enzi ,Zahir ally zoro alishaimba kuhusu kina Cleopatra kwahiyo akitokea mdada kijisifu yeye ni mzuri tena wa kununua dukani muacheni tu ajitambe maana sio wa kwanza yeye kuwa mzuri.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom