happyxxx
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 568
- 1,847
Watanzania adui yetu mkubwa kwa sasa ameongezeka.
Wakati wa Nyerere ilikuwa umaskini, magonjwa na ujinga.
Kwa sasa adui yetu mkubwa ni
1. Wivu
2. Chuki
3. Unafki
Ukikaa chini ukatafakari kinachowafanya watu wapige kelele za Paula na maisha yake ni hao maadui wapya watatu.
Maana hakuna kipya cha ajabu anachokifanya Paula mpaka mapovu yawatoke namna hii. Watu ni wanafki, wanamuonea wivu Paula na Ray imesababisha wakajaa chuki.
picha ya ambayo Paula alitupia kwenye ukurasa wake wa instgram
Wakati wa Nyerere ilikuwa umaskini, magonjwa na ujinga.
Kwa sasa adui yetu mkubwa ni
1. Wivu
2. Chuki
3. Unafki
Ukikaa chini ukatafakari kinachowafanya watu wapige kelele za Paula na maisha yake ni hao maadui wapya watatu.
Maana hakuna kipya cha ajabu anachokifanya Paula mpaka mapovu yawatoke namna hii. Watu ni wanafki, wanamuonea wivu Paula na Ray imesababisha wakajaa chuki.
picha ya ambayo Paula alitupia kwenye ukurasa wake wa instgram