UVIKO
JF-Expert Member
- Jun 14, 2021
- 294
- 362
Wakuu habari za mda huu natumaini tupo salama Sana katika kutekeleza majukumu um ya hapa na pale.Dunia ni duara ina mengi tusioyajua kuhusu Sisi viumbe ambao ni binadamu .Binadamu anaishi kulingana na mazingira yafuatayo yametokea Kwa sababu bado watu walio wengi wanawamini kuwa binadamu ni binadam kama wewe lakini yafuatayo yametokea Kwa sababu ya ukalibu na MTU na kumshilikisha kila Jambo rafiki au MTU wako WA karibu
1.VIFO=mara nyingi watu huwekewa sumu na watu wa karibu, kwa sababu ya tamaa za kifedha
2.KUWACHISHWA KAZI =marafiki katika maofisi ndyo hutumika au MTU wako WA karibu Kwa kuwa tumejawa na unafiki,kujipendekeza,kutaka urahisi WA Maisha,n.k na Mengineyo mengi
Sasa Kwa mawazo yangu Fanya yafuatayo
1.usimuamini MTU yeyote hata kama ni ndugu labda mama yako mzazi
2.mnaofanya KAZI kwenye maofisi au KAZI yeyote inayohusu mkasanyiko usimuongee mfanyakazi mwenzako au bosi wako
3.ishi Kwa tahadhari kubwa .
NANYI NDUGU ZANGU ONGEEZENI
1.VIFO=mara nyingi watu huwekewa sumu na watu wa karibu, kwa sababu ya tamaa za kifedha
2.KUWACHISHWA KAZI =marafiki katika maofisi ndyo hutumika au MTU wako WA karibu Kwa kuwa tumejawa na unafiki,kujipendekeza,kutaka urahisi WA Maisha,n.k na Mengineyo mengi
Sasa Kwa mawazo yangu Fanya yafuatayo
1.usimuamini MTU yeyote hata kama ni ndugu labda mama yako mzazi
2.mnaofanya KAZI kwenye maofisi au KAZI yeyote inayohusu mkasanyiko usimuongee mfanyakazi mwenzako au bosi wako
3.ishi Kwa tahadhari kubwa .
NANYI NDUGU ZANGU ONGEEZENI