Asilimia 90% ya "walevi wa kupindukiwa" wamelawitiwa

hii sasa hatari. viwanda vya pombe vitafungwa kwasababu icho kitu ni disgrace kubwa sana kwa wanaume. tukanwa tusi lolote lakini sio hilo. jamaa mmoja alijinyonga hivihivi baada ya kulewa, wenzie wakamuwahi, kesho yake akaona maumivu na dalili kuwa alikanyagwa na kuwa wenzie wameuona muanas wake. kilichobaki ni aibu tupu na kwenda kutafuta kamba. walevi muwe makini.
 
tehetehe....kaaazi kwelikweli. hapo wabwia pombe wananyamaza kimyaaa, kule kwetu watu huwa wanafunga kabisa hadi suruali chini kwasababu wanajua kuna kutu itatoka mfululizo bila wao kujipendea.
 
hahahahahaha
ndo maana mie huwa sinywi pombe. nakunywa madem, maana hangover yake unalala kwa nyumba ndogo hata siku mbili bila kupoteza uwezo wa kufikiri.

Kwa hiyo wazee wa masanga ikishapanda kunako halafu usiku mkali unayumba mara mbili tatu kisha ukipulizwa na upepo unaanguka kifulifuli kisha wajakazi wa ibilisi wanakuja kupigilia misumari juu hahahahaha.

naona washkaji wamekuja juu mpaka wengine mishipa ya macho imewatoka. enewei labda stories tu. ila kama ndo unagundua kuwa mdingi mlevi kama makonyagi kisha anaanguka popote unajua duh hapa mama kala garasa....

mi simo na sijasema kitu
 
Ubungo wewe ni mtu shari sana. Lakini niliwahi kusikia kulikuwa na kundi kule Zenj miaka ya 70 waliokuwa na tabia ya kulewa pamoja na anaeangusha gari anakuwa halali kwa wanachama. Lakini hayo yalikuwa kwa wanachama tu ambao hufanya hayo maskani mwao.
Mwengine yeye akitamani huwa anajifanya amelewa chakari na akishapata anachotaka anakuwa na nguvu ya kurudi nyumbani.
Na mwengine akishalewa usiwe karibu kwani anakuamrisha 'Panda'
 
Ubungo wewe ni mtu shari sana. Lakini niliwahi kusikia kulikuwa na kundi kule Zenj miaka ya 70 waliokuwa na tabia ya kulewa pamoja na anaeangusha gari anakuwa halali kwa wanachama. Lakini hayo yalikuwa kwa wanachama tu ambao hufanya hayo maskani mwao.
Mwengine yeye akitamani huwa anajifanya amelewa chakari na akishapata anachotaka anakuwa na nguvu ya kurudi nyumbani.
Na mwengine akishalewa usiwe karibu kwani anakuamrisha 'Panda'

hahahaha
enhe hilo kundi lenu lilivunjika lini?? au lipo mpaka leo?
Mkuu ngekewa ulikuwa unalewa chupa ngapi?
haha
 
kwani mtu akifanyiwa hivyo mara moja tu anakuwa shoga? Na kwa nijuavyo mimi ni kuwa ikitokea mtu amelewa na kufanyiwa kitendo hicho hatakaa arudie tena kulewa. Au niko wrong?
 
kwani mtu akifanyiwa hivyo mara moja tu anakuwa shoga? Na kwa nijuavyo mimi ni kuwa ikitokea mtu amelewa na kufanyiwa kitendo hicho hatakaa arudie tena kulewa. Au niko wrong?

Ha ha haaaa!

Nilipokuwa A_Level (PCM) kuna msela alikuwa anapenda sana kugawa tigo hasa kwa vijana wa O_Level, sasa kuuliza ni kwa nini msela haezi kuacha kuna msela mmoja (PCB) akasema ukifanyiwa hivyo mara moja kuna bacteria wanazaliwa ambao kwao manii ni chakula so wakisika njaa wanatekenye maeneo basi dawa yake ni kwenda kutafuta masela hata kwa kuwahonga.

Nadhani kuna madakatri wengi humu wanaweza kuelezea kwa nini watu wakishafanyiwa hivi huwa hawaachi.

asante
 
Ha ha haaaa!

Nilipokuwa A_Level (PCM) kuna msela alikuwa anapenda sana kugawa tigo hasa kwa vijana wa O_Level, sasa kuuliza ni kwa nini msela haezi kuacha kuna msela mmoja (PCB) akasema ukifanyiwa hivyo mara moja kuna bacteria wanazaliwa ambao kwao manii ni chakula so wakisika njaa wanatekenye maeneo basi dawa yake ni kwenda kutafuta masela hata kwa kuwahonga.

Nadhani kuna madakatri wengi humu wanaweza kuelezea kwa nini watu wakishafanyiwa hivi huwa hawaachi.

asante

huyo jamaa yupo hadi leo??
mlete jamvini tumuone labda.....
 
Ha ha haaaa!

Nilipokuwa A_Level (PCM) kuna msela alikuwa anapenda sana kugawa tigo hasa kwa vijana wa O_Level, sasa kuuliza ni kwa nini msela haezi kuacha kuna msela mmoja (PCB) akasema ukifanyiwa hivyo mara moja kuna bacteria wanazaliwa ambao kwao manii ni chakula so wakisika njaa wanatekenye maeneo basi dawa yake ni kwenda kutafuta masela hata kwa kuwahonga.

Nadhani kuna madakatri wengi humu wanaweza kuelezea kwa nini watu wakishafanyiwa hivi huwa hawaachi.

asante

ahahaha..duuuu..ebwanaeeheeee...MLEVI NI NANI?....kipimo cha ulevi ni mpaka mtu aanguke/aangushe gari?.....90% ya walevi wanaliwa tigo?..unauhakika mashoga na majunya wote mjini ni walevi??...anzia reserch yako kwa mashoga wa travetine jahazi aka soda ya kopo...ni walevi wale??....
mtaani na maofisini kwenu mbona mnao mashoga kibaoooo...chunguza tabia zao kama hata hiyo bia/ pombe huwa wanakunywa......mtu akifi...r..w..a.. hawezi kuacha??...kwa sababu ya bacteria wanataka msosi?...duu...kaka hiyo ni tabia ambayo inatibika kwa counsilling na ni something saikologiko zaidi..ni hali ya mtu kutoitamani tena hali yake ya kijinsia..ushoga......
 
Tafiti nyingine bwana.....mzee sample size? Statistical analysis? Confindence interval?....Mod ipeleke mahali pake hii tafadhali UDAKU

Masanilo,
Si kila mtu anafanya utafiti, hayo ni majumuisho ya habari/story za mtaani na vijiweni.
 
Masanilo,
Si kila mtu anafanya utafiti, hayo ni majumuisho ya habari/story za mtaani na vijiweni.

Pamoja ya kwamba siyo utafiti ulio rasmi,ila una ukweli kiasi fulani.Hivyo,mwandishi wa hii thread hajakosea sana kiasi cha kupotosha jamii.
 
Samahanini kwa wale walevi..opsss samahani wale wanaosema tusiwaite walevi ila tuwaite wanywaji.

Inaaminika kuwa, asilimia tisini ya watu wale wanaokunywa sana, yaani chapombez, wanaokunywa hadi wanashindwa kutembea au wanalewa chakali, wale ambao wako adicted(ambao tunao wengi hapa tz),wameshawahi kufanywa vibaya na wanaume wenzao,bila kujipendea, na wenyewe wamelitambua hilo, ila huwa wanashindwa kusolve iyo problem, kwasababu kuacha pombe kwao ni ngumu(becuase they are addicted to it), hivyo ndo wanaishi maisha kama hayo. wakiendelea, hujikuta wanakuwa mashoga. kwani, inasemekana kuna mashoga wengi tu hapa tz ambao wana watoto na wako kwenye ndoa.

mimi mwenyewe mwezi uliopita mtaani kwetu kuna Dalali mmoja hivi ana mke na watoto, alidalalisha nyumba, akapata cha juu zaidi ya milioni hivi, aisee, alienda nazo zote kunywa pombe,akalewa chakali, wahuni wakamnyang'anya pesa, wakaona haitoshi, wakamfanya na vibaya(kwasabu he's helpless,na fisi kakuta mfupa barabarani,hawezikuuacha ati). sehemu nyingi tu tumeshuhudi walevi wakiwa wamefanywa vibaya. na hii ni asilimia kubwa ya watu wanaopenda kushinda baa. mimi huwa sinywi pombe, huwa siendi baa,niko home kuwapikia watoto wangu. hivi kama kuna mlevi au mnywaji humu,au mtu asiyetumia kileo, anaweza akatuambia mawazo yake kuhusu hili.
Chuki tu kwa walevi
hamna jipya wala gari kuanguka.
ukiona ivo mambo hayo unayo toka zamani. kwani you cant teach an old dog new tricks
hic!
 
kwani mtu akifanyiwa hivyo mara moja tu anakuwa shoga? Na kwa nijuavyo mimi ni kuwa ikitokea mtu amelewa na kufanyiwa kitendo hicho hatakaa arudie tena kulewa. Au niko wrong?
hic
kwa hiyo ilivyokutokea mara ya kwanza kisha huyoooo ukaacha ulevi hic!
Na umejuaje hiyo ujuavyo?
 
ahahaha..duuuu..ebwanaeeheeee...MLEVI NI NANI?....kipimo cha ulevi ni mpaka mtu aanguke/aangushe gari?.....90% ya walevi wanaliwa tigo?..unauhakika mashoga na majunya wote mjini ni walevi??...anzia reserch yako kwa mashoga wa travetine jahazi aka soda ya kopo...ni walevi wale??....
mtaani na maofisini kwenu mbona mnao mashoga kibaoooo...chunguza tabia zao kama hata hiyo bia/ pombe huwa wanakunywa......mtu akifi...r..w..a.. hawezi kuacha??...kwa sababu ya bacteria wanataka msosi?...duu...kaka hiyo ni tabia ambayo inatibika kwa counsilling na ni something saikologiko zaidi..ni hali ya mtu kutoitamani tena hali yake ya kijinsia..ushoga......


Inakuwa vigumu sana kuacha kwani inakuwa laana.
 
nyie endeleeni kunywa mipombe tu. tatizo la pombe kuacha ni ngumu, hivyo walevi kuweni tayari kwalolote litakalo wakuta. poleni sana, na likiwakuta, ni laana inawakalia, mtakuwa mnapenda ninavyosikia. duh! ebwanaeee duh!.
 
Na kodi wanalipa halafu wanaendesha shindano la muziki bora na gospel ndani. Pia wanasapoti vifaa vya mahosipitali ambapo hata watu wa Mungu wasiolamba kilevi wanaenda kutibiwa....
Niko konfyusedi tafadhali
 
Back
Top Bottom