Asilimia 66% ya Bajeti ya Wizara ya Nishati na Umeme yaenda kwenye Mradi wa Stiglers. Je, imekaaje kiuchumi?

Mradi wa Nyerere Gorge Hydropower Plant umeanza kwa kukurupuka bila Environmental Impact Assessment na hata Feasibility Studies were not comprehensively done and these are the low lying fruits za ukaidi wa Rais Magufuli alisema studies zinachalewesha!
 
Naomba wachumi mje mtujuze athari za Bajeti ya 2020/21 kwenye sector ya nishati elekezwa kwenye mradi mmoja wa Nyerere Hydro Electric Power huko Rufiji. Kama siyo mchumi soma na upite...
Studies zinaonyesha kuwa Mwl JKNyerere ndiye aliyebuni mradi wa umeme wa Stiglers Gorge through taasisi ya RUBADA mapema 1980s. Na upembuzi yakinifu ulifanyika. Kwa sababu mbali mbali mradi hauku take off wakati ule umekuja kuazimishwa mwaka 2016 na Jiwe.

Hakuna upembuzi yakinifu mwingine uliofanyika zaidi ya copy and paste ili kumridhisha Jiwe ambaye akiamua la kwake ameamua. By rule of thumb inawezekana 36% ya maji yamepungua kati ya mwaka 1978 na 2016 kutokana na sababu zifuatazo;

1. Utekelezaji wa Mtera Dam pale kati ya Dodoma na Iringa

2. Utekelezaji wa Kihansi Electricity Project pale Kilombero

3. Shughuli za binadamu kwenye bonde la Usangu na bonde la Kilombero

4. Mabadiliko ya tabia nchi kusababisha mvua kupungua

5. Mito yetu kujaa matope sana

Hata ukirudi nyuma tuliaminishwa wakati Mtera inajengwa mwaka 1981 na Kihansi mwaka 1993 kuwa yalikuwa ni masuluhisho ya matatizo ya umeme Tanzania. Lakini shida ziliendelea mpaka leo.

Kama Jiwe angekuwa rational angekubali tu tuendelee na umeme wa gesi ya Mtwara. Ila anataka ku mprove JK kuwa alikuwa wrong yeye ndiyo ana upeo. Kitu ambacho si kweli.
 
Soma recommendations za Council on Ethics juu ya maombi ya Elsewedy Electric Co inayojenga kwa ubia hiyo Dam
Screenshot_20200514-114747_Drive.jpg
Screenshot_20200514-114647_Drive.jpg
 
Studies zinaonyesha kuwa Mwl JKNyerere ndiye aliyebuni mradi wa umeme wa Stiglers Gorge through taasisi ya RUBADA mapema 1980s. Na upembuzi yakinifu ulifanyika. Kwa sababu mbali mbali mradi hauku take off wakati ule umekuja kuazimishwa mwaka 2016 na Jiwe...

Jiwe Hakika ana Kichwa Cha Panzi.

Makao Makuu kuhamia Dodoma......C&P from Mwalimu J.K.Nyerere(rip).

Stieglers Gorge Dam....,....................C&P from Mwalimu J.K.Nyerere(rip).

Kama JIwe anajiona ni intelligent aanzishe vya kwake aache Mambo ya c&p!
 
Jiwe Hakika ana Kichwa Cha Panzi.
Makao Makuu kuhamia Dodoma......C&P from Mwalimu J.K.Nyerere(rip).
Stieglers Gorge Dam....,....................C&P from Mwalimu J.K.Nyerere(rip).
Kama JIwe anajiona ni intelligent aanzishe vya kwake aache Mambo ya c&p!
Anapenda kufanya vitu vya sifa na HASHAURIKI. Akina Nyerere na waliomfuata walishauriwa na wakakubali kutohamia Dodoma wala ku implement Stiglers Gorge
 
Siyo suala la Teknolojia ya kujenga bali ni "Ability to Pay". Hazina ni muflis kwa kuwa Jiwe hajui planning. Anatekeleza miradi mikubwa kama 5 kwa wakati mmoja...
Tulisema hapa MATAGA aakabisha; kiko wapi sasa tunakwenda kulipa China.
 
We jamaa unachekesha si kidogo! Yaani unaamini kabisa 90% ya vijiji vya Tanzania vina umeme?!
Matumizi ya % ni magumu kwa watu wengi ndio maana amejikuta ameandika 90% bila kujua lakini uhalisia haupo hivyo.
 
Hujaiona kwenye wino mxito wa The Citizen? Is Tshs. 2.197 Trillions which is 66% of the Total Budget.

Lakini kwa uzoefu ujue kuwa pesa itakayopatikana ni 40% tu kutoka Hazina takribani Tshs. 0.8 T! Kumbuka Total cost ya Mradi Ni zaidi ya Tshs. 7+ Bilioni hivo kwa hesabu hizi mpaka mradi ukamilike utachukua miaka isiyopungus 10! Jiwe ataondoka bila ya ndoto yake kukamilika!
Mkuu Mzalendo2015, je tumefika wapi kwenye hili?
 
Studies zinaonyesha kuwa Mwl JKNyerere ndiye aliyebuni mradi wa umeme wa Stiglers Gorge through taasisi ya RUBADA mapema 1980s. Na upembuzi yakinifu ulifanyika. Kwa sababu mbali mbali mradi hauku take off wakati ule umekuja kuazimishwa mwaka 2016 na Jiwe...
Ulishaambiwa gas ya mtwara sio yetu... ubishi tu na kujitia kumover shine jiwe leo his gone na majibu ni yaleyale gas sio yetu kwa mikataba ya mshoga
 
Ulishaambiwa gas ya mtwara sio yetu... ubishi tu na kujitia kumover shine jiwe leo his gone na majibu ni yaleyale gas sio yetu kwa mikataba ya mshoga
Siyo kweli, umeandika kufurahisha baraza tu. Serikali kwa mujibu wa sheria mpya ya madini inapata vifuatavyo;

1. Mrahaba 15%
2. Kodi ya ongezeko la thamani- VAT
3. Retention ya Halmashauri
4. Corporate social responsibility

Kama hatukuwekeza hata Tsh 1/- kwenye utafiti na mtaji ni UWONGO kusema tunaibiwa kwenye gesi.

Pili kwa taarifa yako umeme wa Kinyerezi 1 & 2 inachangia 800 MW ambazo ni 60% ya mahitaji ya Nchi nzima.

Magufuli aliwadanganya wajinga tu na kama hamtazinduka ndiyo kwisha kazi.
 
Hujaiona kwenye wino mxito wa The Citizen? Is Tshs. 2.197 Trillions which is 66% of the Total Budget.

Lakini kwa uzoefu ujue kuwa pesa itakayopatikana ni 40% tu kutoka Hazina takribani Tshs. 0.8 T! Kumbuka Total cost ya Mradi Ni zaidi ya Tshs. 7+ Bilioni hivo kwa hesabu hizi mpaka mradi ukamilike utachukua miaka isiyopungus 10! Jiwe ataondoka bila ya ndoto yake kukamilika!
Watu mliona mbali sana.Hongera mkuu.
 
Siyo suala la Teknolojia ya kujenga bali ni "Ability to Pay". Hazina ni muflis kwa kuwa Jiwe hajui planning. Anatekeleza miradi mikubwa kama 5 kwa wakati mmoja;
1. Ubungo Bridge
2. Coco Beach -AgaKhan Road
3. Kimara -Kibamba six lane highway
4. Kigongo -Busisi
5. SGR
6. Stiglers Hydro

Hiyo miradi yote ni pasua kichwa, kuna ambayo ina foreign na local component na kuna ambayo ni 100% local component tu.

Kuna miradi naona kama itasimama kama Barabara ya Kimara- Kibamba na SGR

Mtaka yote kwa pupa kukosa yote
Kwasababu imeshaanza hatuna namna kukomaa ikamilike. Shida ni hawa vilaza wa CCM hawana akili za kusimamia miradi kwa kuelekeza bajeti maeneo muhimu wala ubunifu wa kukusanya mapato.

Sasa we ona wamekwenda nunua ndege zingine wakati shirika la ndege linazo ndege za kutosha kukimbiza biashara. Haya mashirika machache yaliyopo na hizi rasilimali tulizonazo zikipata vichwa vizuri vya biashara then mapato ya kukimbiza hii miradi ikaisha vema kabisa pamoja na kuanzisha mipya, hayo mapato yapo kabisa na yanapatikana.

Shida ya taifa letu sio uwezo , hii ni inchi tajiri tatizo ni wapuuzi waliopo katika kung'ang'ania kushika usukani wa uongozi na kujiita viongozi ile hali ya kwamba hakuna wanaloweza.
 
Back
Top Bottom