Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,650
- 8,580
Hizo ndio akili za wanaojiita GT wa JF. Ndio maana chama chao hakina hata ofisi lakini wanaahidi kuwaletea wananchi maendeleleo eti wakitawala nchi! Ahahahahahah!Wakati mwingine tuwe na akili japo kidogo tu, hospitali isipokuwa na majengo hao wataalamu watafanyia kazi wapi?