kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Tuacheni mahaba na mahabani maana kuna mtu anasema tumepunguza kutoka 8.2 hadi 8.1 na kwamba hakuna kama hanganya aisee
Hivi kuna tofauti gani kati ya kutoka 8.2 hadi 8.1?
Hivi ndo hiyo 1 ndo kuandika hadi thread na kusifia?
Fact ni kuwa nchi yetu inategemea misaada kwa asilimia 61
Hiyo inajumuisha misaada na mikopo kutoka nje sisi ni tunaweka hapo 39 tu na hiyo 61 inatoka nje
Sijui ni lini tutaweza kujitegemea tukatae misaada tu
Hivi kuna tofauti gani kati ya kutoka 8.2 hadi 8.1?
Hivi ndo hiyo 1 ndo kuandika hadi thread na kusifia?
Fact ni kuwa nchi yetu inategemea misaada kwa asilimia 61
Hiyo inajumuisha misaada na mikopo kutoka nje sisi ni tunaweka hapo 39 tu na hiyo 61 inatoka nje
Sijui ni lini tutaweza kujitegemea tukatae misaada tu